KWETU HAKUNA WAFUNGWA, NI WANAFUNZI - SHEIKH ABEID KARUME
![](http://img.youtube.com/vi/QB0-HUGpjOs/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/O5mD72kiuAc/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
MOblog inaunga na Watanzania wote kuadhimisha miaka 42 ya kifo muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Sheikh Abeid Amani Karume
Watanzania leo wanakumbuka kifo cha aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume aliyeuawa kwa kupigwa risasi siku hiyo mwaka 1972.
MOblog inakutakia mapumziko mema na tuyaenzi yale yote mema aliyoyafanya Hayati Abeid Amani Karume likiwemo la kudumisha Muungano wetu.
11 years ago
Mwananchi14 May
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Hali ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid inatisha
Uwanja ni nyenzo muhimu katika kukuza na kuendeleza michezo kitaifa na kimataifa kwa kuwa ndio sehemu ya kukutana kwa wanamichezo, kuendesha mashindano na hata kusaka vipaji vya michezo na kuviendeleza.
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Malinzi ausifu Uwanja Sheikh Amri Abeid
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameridhishwa na viwango vya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ulioko Arusha na kuahidi kuileta timu ya Taifa kuutumia katika moja ya mechi za kimataifa ikiwemo ya michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017 (AFCON).
10 years ago
VijimamboNDEGE KUBWA ZAANZA KUTUA UWANJA WA KIMATAIFA WA ABEID AMAN KARUME ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mT6vCwfJACM/VXzDxILY_jI/AAAAAAADrR0/xz9SmVYJQe8/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE ATEMBELEA KABURI LA HAYATI ABEID AMAN KARUME MJINI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-mT6vCwfJACM/VXzDxILY_jI/AAAAAAADrR0/xz9SmVYJQe8/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iGEweiuQM7s/VBmOui5po4I/AAAAAAAGkGM/ofrVsJPBgSg/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
WAZIRI WA HABARI NA UTALII WA ZANZIBAR AFANYA KATIKA UWANJA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID KARUME
Maryam Himid/Saada Saleh-ZJMMC
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo,Zanzibar,Mh. Saidi Ali Mbarouk amezitaka Taasisi zinazosimamia kupokea Watalii Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Amani Abeid Karume kujenga mashirikiano ili kuondosha usumbufu kwa wageni wanaoingia na kuotoka nchini. Ameyasema hayo alipofanya ziara Uwanjani hapo kwa lengo la kuangalia hali halisi ya Wageni wanaoingia na kutoka nchini.
Waziri Mbarouk amesema suala la Mashirikiano kwa wageni ni jambo muhimu...
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo,Zanzibar,Mh. Saidi Ali Mbarouk amezitaka Taasisi zinazosimamia kupokea Watalii Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Amani Abeid Karume kujenga mashirikiano ili kuondosha usumbufu kwa wageni wanaoingia na kuotoka nchini. Ameyasema hayo alipofanya ziara Uwanjani hapo kwa lengo la kuangalia hali halisi ya Wageni wanaoingia na kutoka nchini.
Waziri Mbarouk amesema suala la Mashirikiano kwa wageni ni jambo muhimu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania