KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
MOblog inaunga na Watanzania wote kuadhimisha miaka 42 ya kifo muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Sheikh Abeid Amani Karume
Watanzania leo wanakumbuka kifo cha aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume aliyeuawa kwa kupigwa risasi siku hiyo mwaka 1972.
MOblog inakutakia mapumziko mema na tuyaenzi yale yote mema aliyoyafanya Hayati Abeid Amani Karume likiwemo la kudumisha Muungano wetu.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/O5mD72kiuAc/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/QB0-HUGpjOs/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Apr
LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME
![](http://i.ytimg.com/vi/0shB_WGlYeU/hqdefault.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s72-c/IMG_0079.jpg)
DKT. SHEIN AFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME, ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s1600/IMG_0079.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lscueZO_-Tk/VSbG8gH_bmI/AAAAAAAHP7s/ROCF1xo3uCU/s1600/IMG_0194.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QTZ-hCFh4UY/VKf4vamku5I/AAAAAAAG7Cs/Y_Tqx2hgjMw/s72-c/unnamed.jpg)
PBZ WAKABIDHI MABASI YA ABIRIA KWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-QTZ-hCFh4UY/VKf4vamku5I/AAAAAAAG7Cs/Y_Tqx2hgjMw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FQEqmD6IPFA/VKf4wqltz_I/AAAAAAAG7C0/YycsQ2HX8eA/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s72-c/TA1A6413.jpg)
MAPOKEZI YA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI BAKARI SHAABANI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA ABEID AMANI KARUME,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UZT9WLJf9xE/UxyW_Mmf-ZI/AAAAAAAFSaw/yheGNpxsmd0/s1600/TA1A6413.jpg)