Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi ausifu Uwanja Sheikh Amri Abeid

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameridhishwa na viwango vya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ulioko Arusha na kuahidi kuileta timu ya Taifa kuutumia katika moja ya mechi za kimataifa ikiwemo ya michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017 (AFCON).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hali ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid inatisha

Uwanja ni nyenzo muhimu katika kukuza na kuendeleza michezo kitaifa na kimataifa kwa kuwa ndio sehemu ya kukutana kwa wanamichezo, kuendesha mashindano na hata kusaka vipaji vya michezo na kuviendeleza.

 

11 years ago

Mwananchi

Hali mbaya Uwanja Sheikh Amri Abeid

Moses Mashalla, Mwananchi

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AWA SHUJAA ARUSHA MJINI KUHUTUBIA WANANCHI KESHO KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akijibu hoja mbali mbali zilizoletwa na kamati ya soko la Kilombero ikiwa pamoja na kupandishiwa kodi bila utaratibu maalum.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wananchi wa Arusha kwenye soko la Kilombero ambapo walisalimu wananchi waliojitokeza kwa wingi.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi wengine wa chama na serikali wakila chakula kwa Mama Lishe wa soko la Kilombero,jijini Arusha.Katibu Mkuu wa CCM...

 

10 years ago

Vijimambo

HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS

 Sehemu ya Waendesha Bodaboda wa Jijini Arusha wakiusubiria msafara wa Mh. Lowassa, maeneo ya Uwanja wa Ndege wa Arusha.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI Wadau wakichukua taswira ya Mh. Lowassa wakati alipotika eneo hilo. Abiria kwenye basi pia hawakua nyuma kuchua Taswira zako pale walipomuona Mh. Lowassa akiwa kwenye gari lake.
 Kila mmoja alikuwa na shauku ya kumuona na kumsabahi kama hivi. Sehemu ya wakazi wa Arusha wakimshangilia Mh. Lowassa alipokuwa akipita katika barabara ya Sokoine,...

 

10 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA JIJINI ARUSHA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS

 Sehemu ya Waendesha Bodaboda wa Jijini Arusha wakiusubiria msafara wa Mh. Lowassa, maeneo ya Uwanja wa Ndege wa Arusha.
 Abiria kwenye basi pia hawakua nyuma kuchua Taswira zako pale walipomuona Mh. Lowassa akiwa kwenye gari lake.
 Sehemu ya wakazi wa Arusha wakimshangilia Mh. Lowassa alipokuwa akipita katika barabara ya Sokoine, Jijini Arusha wakati alielekea kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kutangaza nia.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

SECRETARY GENERAL OF THE EAC ADDRESSES ZINDUKA 2014 FESTIVAL AT THE SHEIKH AMRI ABEID STADIUM, ARUSHA

The Secretary General of the East African Community, Amb. Dr. Richard Sezibera today commended the East African Business Council, Pan African Lawyers Union (PALU), the people of Arusha and the management of Arusha City Council for organizing and hosting the Zinduka 2014 themed“Peoples’ Voices, Sustainable Development” at the Sheikh Amri Abeid Stadium in Arusha, Tanzania.
Amb. Sezibera applauded the warm hospitality extended by the organizers and Arusha city to the delegates attending the...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwalimu J.K.Nyerere na Kaluta Amri Abeid

Wakati Watanzania wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu ujao, tunashuhudia pilikapilika nyingi za wanasiasa  wanaozungumzia  maendeleo ya taifa hili katika elimu, siasa, uchumi, afya, mawasiliano, nk. Kila chama cha siasa kimetayarisha vipaumbele vyake ambavyo vinalenga kuboresha maisha ya wananchi. Kwa mfano katika uzinduzi wa kampeni ya Chama cha Mapinduzi (CCM)uliofanyika katika Viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam Jumapili tarehe 23 August 2015, Rais mtarajiwa Dkt John Pombe...

 

9 years ago

Mwananchi

Kaluta Amri Abeid na Saadan Abdu Kandoro

unaendelea na maelezo kuhusu mchango wa Hayati Kaluta Amri Abeid, gwiji wa mashairi ya Kiswahili. Alikuwa pia na kipaji cha kusoma mashairi ya Kiingereza, Kiarabu, Kiajemi na Kiurdu. Mchango wake katika lugha ya Kiswahili ni mkubwa. Mwandishi mashuhuri Mathias Eugen Mnyampala akiandika juu ya maisha yake, alimtaja Kaluta  Amri Abeid kama mtu hodari wa kutumia lugha ya Kiswahili katika fani ya kuimba Tajiwidi, mashairi na tenzi kwa mahadhi ya namna mbalimbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani