HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA JIJINI ARUSHA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS

Sehemu ya Waendesha Bodaboda wa Jijini Arusha wakiusubiria msafara wa Mh. Lowassa, maeneo ya Uwanja wa Ndege wa Arusha.
Abiria kwenye basi pia hawakua nyuma kuchua Taswira zako pale walipomuona Mh. Lowassa akiwa kwenye gari lake.
Sehemu ya wakazi wa Arusha wakimshangilia Mh. Lowassa alipokuwa akipita katika barabara ya Sokoine, Jijini Arusha wakati alielekea kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kutangaza nia.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS











10 years ago
GPL
10 years ago
Vijimambo20 Mar
KINANA AWA SHUJAA ARUSHA MJINI KUHUTUBIA WANANCHI KESHO KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID




11 years ago
Mwananchi14 May
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Hali ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid inatisha
Uwanja ni nyenzo muhimu katika kukuza na kuendeleza michezo kitaifa na kimataifa kwa kuwa ndio sehemu ya kukutana kwa wanamichezo, kuendesha mashindano na hata kusaka vipaji vya michezo na kuviendeleza.
11 years ago
Michuzi31 Jan
11 years ago
Mwananchi02 Sep
Malinzi ausifu Uwanja Sheikh Amri Abeid
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameridhishwa na viwango vya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ulioko Arusha na kuahidi kuileta timu ya Taifa kuutumia katika moja ya mechi za kimataifa ikiwemo ya michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017 (AFCON).
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo
Kinana Apata Wasaa Wa Kuongea Na Lowassa. Hivi Ndivyo ilivyokuwa



Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania