Ebola:Mfanyakazi apoteza maisha
Mfanyakazi aliyekuwa akitunza Watoto yatima nchini Siera Leone apoteza maisha kutokana na Ebola
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yNULcG2812o/VVSziYNkSoI/AAAAAAAHXUM/lEecZ3fAIYg/s72-c/image061.jpg)
Mtu Mmoja apoteza maisha kwa Mafuriko jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-yNULcG2812o/VVSziYNkSoI/AAAAAAAHXUM/lEecZ3fAIYg/s400/image061.jpg)
Tukio hili lilitokea tarehe 13/05/2015 majira ya saa nane kamili mchana huko...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daktari Li Wenliang apoteza maisha baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona
11 years ago
Michuzi17 Feb
NEWS ALERT: Mmoja apoteza maisha kufuatia ajali ya gari huko Lindi
Abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo anaitwa Amina Omari Makodora (48) mkazi wa kijiji cha Kilindoni,wilaya ya Mafia,mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa abiria wengine walionusulika kwenye ajali hiyo,wameiambia Globu ya Jamii kuwa ajali hiyo...
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Mtoto Tabia Mkulukute apoteza maisha baada ya kugongwa na gari na kuzikwa leo Bunju ‘A’
Mtoto Tabia ambaye aliyegongwa na gari Pichani mwenye gauni la njano, enzi ya uhai wake.
Gari la Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge lilivyoharibiwa.
Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge akizungumza na wanahabari mkasa ulivyo tokea kama alivyoona.
Maeneo ya jirani ya kituo hicho taswira ilivyokuwa ikionekana.
Wananchi wakiwa ng’ambo ya Barabara wakiangalia jinsi kituo kilivyochomwa moto.
Mwanahabari Jamaly Hashimu wa kituo cha TBC akipata taarifa...
9 years ago
Bongo523 Sep
Picha: Muigizaji wa Kenya apoteza maisha kwenye ajali mbaya akiwa na gari ya kifahari
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
NEWS ALERT: Mtoto wa miaka 5 apoteza maisha baada ya kubakwa na watu wasiojulikana Mkoani Kigoma!
Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya tukio la kubakwa kwa mtoto wa miaka 5, lililotokea jana mkoani humo. (Picha na mwanahabari wetu)
Na Mwandishi Wetu
[KIGOMA] Mtoto mmoja alitambulika kwa majina, Asifiwe Amos mwenye miaka mitano (5) na mkazi wa kijiji cha Katuguru Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulikana na kupelekea kifo chake hicho.
Akizungumza na Waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s72-c/IMG-20150415-WA0045.jpg)
NEWZZ ALERT;MTU MMOJA APOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA BASI LA JORDAN KUPINDUKA NZEGA,LIKITOKEA JIJINI MWANZA KWENDA ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s1600/IMG-20150415-WA0045.jpg)
Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lenye usajili wa namba T 650 AQZ lililokuwa likitokea jijini Mwanza kwenda mkoani Arusha na kupinduka leo wilayani Nzega,Tabora.Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tXAyhsmhNUE/VS5FTTHjAsI/AAAAAAAHRRE/KnSSu-YP4kM/s1600/IMG-20150415-WA0039.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qi1DswkaKC0/VS5FS0wPhwI/AAAAAAAHRQ8/0h7X2lFpg1A/s1600/IMG-20150415-WA0040.jpg)
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Magufuli apoteza mwelekeo
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk.
Mwandishi Wetu
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Cheka apoteza matumaini