Mtoto Tabia Mkulukute apoteza maisha baada ya kugongwa na gari na kuzikwa leo Bunju ‘A’
Mtoto Tabia ambaye aliyegongwa na gari Pichani mwenye gauni la njano, enzi ya uhai wake.
Gari la Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge lilivyoharibiwa.
Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge akizungumza na wanahabari mkasa ulivyo tokea kama alivyoona.
Maeneo ya jirani ya kituo hicho taswira ilivyokuwa ikionekana.
Wananchi wakiwa ng’ambo ya Barabara wakiangalia jinsi kituo kilivyochomwa moto.
Mwanahabari Jamaly Hashimu wa kituo cha TBC akipata taarifa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMTOTO TABIA MKULUKUTE ALIYEFARIKI JANA BAADA YA KUGONGWA NA GARI BUNJU 'A' , KUZIKWA LEO
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
NEWS ALERT: Mtoto wa miaka 5 apoteza maisha baada ya kubakwa na watu wasiojulikana Mkoani Kigoma!
Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya tukio la kubakwa kwa mtoto wa miaka 5, lililotokea jana mkoani humo. (Picha na mwanahabari wetu)
Na Mwandishi Wetu
[KIGOMA] Mtoto mmoja alitambulika kwa majina, Asifiwe Amos mwenye miaka mitano (5) na mkazi wa kijiji cha Katuguru Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulikana na kupelekea kifo chake hicho.
Akizungumza na Waandishi wa...
5 years ago
CCM BlogWANAFUZI WATANO WAFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA GARI
“Chanzo cha ajali iliyoua wanafunzi watano ni mwendo kasi wa Dereva wa Land Cruiser, hakujali mvua na utelezi, Gari likamshinda na kuwagonga Watoto pembezoni mwa Barabara wakadondokea mtaroni, watatu...
11 years ago
GPL
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI
11 years ago
Michuzi17 Feb
NEWS ALERT: Mmoja apoteza maisha kufuatia ajali ya gari huko Lindi
Abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo anaitwa Amina Omari Makodora (48) mkazi wa kijiji cha Kilindoni,wilaya ya Mafia,mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa abiria wengine walionusulika kwenye ajali hiyo,wameiambia Globu ya Jamii kuwa ajali hiyo...
10 years ago
Bongo523 Sep
Picha: Muigizaji wa Kenya apoteza maisha kwenye ajali mbaya akiwa na gari ya kifahari
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daktari Li Wenliang apoteza maisha baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wachezaji wawili wapoteza maisha, ni baada ya gari waliyotumia kuacha barabara
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya ajali ya gari aina ya Noah T.987 CQN iliyokuwa imepakia abiria 24, kuacha barabara na kisha kugonga mti na kuuawa wachezaji wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu akiwemo mwanafunzi wa kidato cha tatu shule ya sekondari Tumaini kata ya Kinampanda wilaya ya Iramba.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WACHEZAJI wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu...
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Mtoto aliyefariki baharini kuzikwa leo