WANAFUZI WATANO WAFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA GARI
Wanafunzi watano wa shule ya msingi Ndelenyuma,Ruvuma wamefariki Dunia na mmoja amejeruhiwa baada ya kugongwa na Land Cruiser lililokuwa likitokea Songea kwenda Madaba, Gari hilo liliacha njia na kuwagonga wanafunzi kisha likapinduka, Dereva aliyefahamika kwa jina moja la Salum ametoroka.
“Chanzo cha ajali iliyoua wanafunzi watano ni mwendo kasi wa Dereva wa Land Cruiser, hakujali mvua na utelezi, Gari likamshinda na kuwagonga Watoto pembezoni mwa Barabara wakadondokea mtaroni, watatu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXw2yC3sq0IIR00Ad6ZnkHlC8PYv5WLR*gP2FpZbyQ09GfZG3PBDgZrEZjIQDzcCFjjicRy45ERx3cSNg0w6-GUT/kamandadiwanathuman.jpg)
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Mtoto Tabia Mkulukute apoteza maisha baada ya kugongwa na gari na kuzikwa leo Bunju ‘A’
Mtoto Tabia ambaye aliyegongwa na gari Pichani mwenye gauni la njano, enzi ya uhai wake.
Gari la Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge lilivyoharibiwa.
Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge akizungumza na wanahabari mkasa ulivyo tokea kama alivyoona.
Maeneo ya jirani ya kituo hicho taswira ilivyokuwa ikionekana.
Wananchi wakiwa ng’ambo ya Barabara wakiangalia jinsi kituo kilivyochomwa moto.
Mwanahabari Jamaly Hashimu wa kituo cha TBC akipata taarifa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s72-c/unnamed+(61).jpg)
ASKARI POLISI WATANO MKOANI DODOMA WAFARIKI DUNIA PAPOHAPO KATIKA AJALI YA GARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s1600/unnamed+(61).jpg)
Askari polisi watano mkoani dodoma wafariki dunia papohapo katika ajali ya gari iliyotokea 31/01/2014 majira ya 23.45 hrs katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro eneo la Mtumba Center, Kata ya Mtumba Tarafa ya Kikombo Manispaa ya Dodoma, ambapo gari namba T.770 ABT Toyota Corolla lililokuwa likiendeshwa na Askari namba H. 3783 PC DEOGRATIUS wa Polisi Wilaya ya Kongwa likitokea Dodoma mjini likielekea Wilayani Kongwa liligongana uso kwa uso...
10 years ago
GPLMTOTO TABIA MKULUKUTE ALIYEFARIKI JANA BAADA YA KUGONGWA NA GARI BUNJU 'A' , KUZIKWA LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SjVAbPf4aQE/VJgUmQzhHOI/AAAAAAAAyJE/s9ELocmsDhM/s72-c/10849955_762723843796739_395811204800001497_n.jpg)
WATU TISA WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI WALILOKUWA WAKISAFIRIA KUGONGANA WILAYANI MOMBA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SjVAbPf4aQE/VJgUmQzhHOI/AAAAAAAAyJE/s9ELocmsDhM/s640/10849955_762723843796739_395811204800001497_n.jpg)
WATU TISA [09] KATI YAO WANAUME SABA [07] NA WANAWAKEWAWILI [02] WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA GARI WALIOKUWA WAKISAFIRIA LENYE NAMBA ZA USAJILI T.203 ARZ AINA YA TOYOTA COASTER LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA AITWAYE JOHN EMANUEL (36) MKAZI WA MLOWO-MBOZI LIKIWA LINATOKEA MBEYA KWENDA TUNDUMA WAKATI AKIJARIBU KULIPITA GARI T.789 AZL/T.123 AXV AINA YA TATA TRUCK ENEO AMBALO KUNA MLIMA NA...
11 years ago
Michuzi16 Jul
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MOMBA.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...
10 years ago
GPLANUSURIKA KUFA BAADA YA KUGONGWA NA BODABODA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z*WFeROO64pnBfKvv*NUZxBls2h*sVAZXOAa7Fwlvwozic*JXuAVF7qiYrRchQKtaLw4M8-Pg5IuNJ7kqWc3hNuXILNaizoN/1.jpg?width=650)
AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA COASTER MOROGORO
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Wanajeshi watano wa Nato wafariki Afghanistan