Magufuli apoteza mwelekeo
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk.
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Cheka apoteza matumaini
>Bondia Francis ‘SMG’ Cheka amesema hana matumaini ya kuurejesha ubingwa wa Dunia wa WBF aliovuliwa hivi karibuni huku akisisitiza taji hilo ndilo basi tena kurudi Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE7b2uzemg7uxCWAWJ1svbJmt9xjWvlywB3Aw31-7VonT8HITGg9ULVKnVd9Pa2S8JWl2Ym4*gSJivfvjzq8l*RG/kakitu2.jpg)
BALAA LA KRISMASIMREMBO APOTEZA FAHAMU
Mwanamke(Jenipher ) ayeanayedaiwa kujiuza akiwa hoi hajitambui. MSICHANA mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Jenipher, anayedaiwa kujiuza katika maeneo ya Shivaz na Kaloleni jijini hapa, amekutwa akiwa amepoteza fahamu kando ya barabara, katika harakati za kujipatia chochote kipindi hiki cha sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya. Akiwa pembeni ya barabara, Jenipher anayeelezwa kuwa maarufu mjini hapa, anadaiwa kuwa siku hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQBTcReSuSCirllfQZh8I9*ZL8ndqnbmWwzdUwTsxQs4wpxAkWOWHm1yN7XmqnPTRVnmdWZ-IQYhpCdAxCurK2w/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA APOTEZA UTULIVU KIKAONI
Stori: Deogratius Mongela
UA zuri kunako anga la sinema Bongo, Shamsa Ford amejikuta akipoteza utulivu kikaoni kufuatia kuinuka na kuzama toileti mara kwa mara. Shamsa Ford. Tukio hilo lilichukua nafasi hivi karibuni kwenye kikao cha mdahalo wa kugombea nafasi za viongozi wapya wa Klabu ya Bongo Movies katika Viwanja vya Leaders Club jijini Dar. Tathmini za paparazi wetu, Shamsa aliyeonekana akipiga mtungi kiaina, zilibaini...
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Ebola:Mfanyakazi apoteza maisha
Mfanyakazi aliyekuwa akitunza Watoto yatima nchini Siera Leone apoteza maisha kutokana na Ebola
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/80HUFF25OCBEtWc2Cf9ZTf5o*0Q7OBWkD2egsOSjgOm4eBVDwfjdlEaYBI5b1yguoFxtMFDEPiGGEPQpJzfRG4riPHNzJMnC/Mgonjwa.jpg?width=650)
APOTEZA FAHAMU KWA MIEZI MIWILI
JOSEPH Matitu anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 50Â ambaye hajajulikana kuwa ni mkazi wa wapi, ameokotwa na wasamaria wema Machi 13, mwaka huu baada ya kudondoka ghafla na kupoteza fahamu. Joseph Matitu anayedaiwa kupoteza fahamu kwa miezi miwili, akiendelea kupata matibabu.
Kwa mujibu wa mtoa habari wetu, Matitu aliokotwa Kibaha, mkoani Pwani baada ya watu kumuona akiwa amelala chini, wakahisi alikuwa amefariki dunia....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGG4O97GEDq*NrShM2zAAKQsWqYO5CvSQtv0fcNDenX-iHMNitJ0niH30L1epGbUqMfjO93hcKWKEy7bXyW5oTVb/shabiki.jpg?width=650)
Mashabiki wamvamia Okwi apoteza pumzi
Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Richard Bukos, Tabora
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Emmanuel Okwi, juzi Jumamosi alikuwa katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na mashabiki wa soka kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini hapa, hali iliyosababisha ashindwe kupumua vizuri.…
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Platini apoteza rufaa ya kupinga marufuku
Rais wa Shirikisho la Soka Ulaya Uefa Michel Platini ameshindwa katika rufaa yake ya kutaka marufuku ya siku 90 dhidi yake iondolewe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/T*Jd5VJ-te1jPfCpsfIYQ3CWz8dpN1aoDCtAnhP0NHaN4i0hxKYd6fU*Ewp0jmt0Lu2g91U3nmHHb0Ku3X-YEJVkYdl35yi8/kiungo.gif?width=650)
Kiungo Yanga apoteza fahamu uwanjani
Kiungo mkabaji wa Yanga, Said Juma Makapu akitolewa uwanjani baada ya kuanguka na kupoteza fahamu.
Nassor Gallu,Tanga
FURAHA ya wachezaji wa Yanga juu ya ushindi wao dhidi ya Mgambo JKT ilizimika ghafla baada ya kiungo mkabaji wa timu hiyo, Said Juma Makapu kuanguka na ‘kuzimia’ akiwa uwanjani.Katika mchezo huo ambao Yanga walipata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe na Simon Msuva, kiungo huyo...
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Tiger Woods apoteza jino uwanjani
Tiger woods amepoteza jino lake la mbele baada ya kugongwa na kamera ya mwandishi wakati akimtazama mpenziwe akiteleza kwenye barafu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania