Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tiger Woods apoteza jino uwanjani

Tiger woods amepoteza jino lake la mbele baada ya kugongwa na kamera ya mwandishi wakati akimtazama mpenziwe akiteleza kwenye barafu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Tiger Woods kurejea viwanjani

Tiger Woods, amesema kwamba ana matarajio ya kushinda michuano mikubwa zaidi katika kipindi cha miaka kumi ijayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tiger Woods ashuka kiwango

Aliyekuwa kinara wa mchezo wa gofu Tiger Woods ameshuka kiwango.

 

9 years ago

TheCitizen

Tiger Woods still searching for consistency

Woods has lifted the PGA Championship trophy four times and recalled his first victory, at Medinah in 1999, as pivotal

 

10 years ago

BBCSwahili

Tiger Woods kupumzika Golf kwa muda

Tiger Woods, amesema hana mpango wa kurudi kwa haraka kucheza mchezo huo baada ya kuandamwa na majeruhi.

 

10 years ago

Dewji Blog

DAMAC Properties Announce Tiger Woods Design to Create Golf Course for ‘AKOYA Oxygen’

damac

Trump World Golf Club Dubai’, 18-Hole Championship Course will be designed by Tiger Woods

Golfing superstar Tiger Woods will design the new 18-hole championship golf course in Dubai to be built by luxury real estate developers, DAMAC Properties (http://www.damacproperties.com) and operated by The Trump Organization.

Set within the 55 million sq ft master community of AKOYA Oxygen, the ‘Trump World Golf Club, Dubai’ will include a state-of-the-art clubhouse, world-class restaurant and pro...

 

10 years ago

GPL

Kiungo Yanga apoteza fahamu uwanjani

Kiungo mkabaji wa Yanga, Said Juma Makapu akitolewa uwanjani baada ya kuanguka na kupoteza fahamu.
Nassor Gallu,Tanga
FURAHA ya wachezaji wa Yanga juu ya ushindi wao dhidi ya Mgambo JKT ilizimika ghafla baada ya kiungo mkabaji wa timu hiyo, Said Juma Makapu kuanguka na ‘kuzimia’ akiwa uwanjani.Katika mchezo huo ambao Yanga walipata ushindi wa mabao 2-0 yaliyofungwa na Amissi Tambwe na Simon Msuva, kiungo huyo...

 

10 years ago

Michuzi

friends rangers vs African lyon jino kwa jino uwanja wa karume kesho

KIKOSI cha timu ya Friends Rangers, kesho kinajitupa kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam kuvaana na timu ya African Lyon, katika mchezo wa ligi daraja la kwanza.  Ofisa habari wa Friends Rangers, Asha Kigundula, alisema kuwa mchezo huo wa pili kwa timu hizo ikiwa ni mzunguko wa pili wa ligi hiyo.  Kigundula alisema kuwa kikosi chao kipo katika hali kubwa ya kuhakikisha haitapoteza mchezo huo.  Alisema kikosi chao chini ya kocha wao Ally Yusuph 'Tigana' kina...

 

10 years ago

Bongo5

Jino kwa Jino? Ex wa Zari ala bata na Wema South, mpambe asema ‘What goes around comes around (Picha)

Ivan Ssemwanga, aliyekuwa mume wa Zari The Bosslady na aliyezaa naye watoto watatu ameanza kurusha mashambulizi kwa adui yake namba moja, Diamond Platnumz. Kuanzia Kulia: King Lawrence, Ivan Ssemwinga na Wema Sepetu Mfanyabiashara huyo mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini huenda akalipiza kisasi kwa Diamond anayetarajia kupata mtoto wake wa kwanza kutoka kwa Zari kwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani