Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Platini apoteza rufaa ya kupinga marufuku

Rais wa Shirikisho la Soka Ulaya Uefa Michel Platini ameshindwa katika rufaa yake ya kutaka marufuku ya siku 90 dhidi yake iondolewe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rufaa ya Blatter na Platini yakataliwa

Maombi ya rais wa FIFA Sepp Blatter na makamu wa rais wa shirikisho hilo Michel Platini ya kupinga kusimamishwa kazi kwa siku 90 waliowekewa na kamati ya Fifa yamekataliwa.

 

9 years ago

Mtanzania

Rufaa ya Blatter, Platini zakataliwa

FIFA President Blatter addresses a news conference in ZurichZURICH, USWISI

RUFAA iliyokatwa na Rais wa Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA) aliyesimamishwa, Sepp Blatter pamoja na Rais wa Vyama vya Soka barani Ulaya ‘Uefa’ Michel Platini, kupinga kusimamishwa kwa siku 90 zimekataliwa na kamati ya rufaa ya shirikisho hilo.

Blatter na Platini walisimamishwa tangu Oktoba mwaka huu na kamati ya maadili ya Fifa kwa muda wa siku 90 kupisha uchunguzi juu ya tuhuma za rushwa zinazowakabili viongozi hao.

Blatter alianza kukumbwa na kashfa hiyo mara baada ya...

 

9 years ago

Bongo5

Rufaa za Blatter, Platini zakataliwa

blatter1

Hatimaye rufaa iliyokatwa na Rais wa FIDA aliyesimamishwa Sepp Blatter pamoja na rais wa UEFA Michel Platini kupinga kusimamishwa kwa siku tisini, zimekataliwa na kamati ya rufaa ya shirikisho hilo la soka.

blatter1

Blatter na Platini, walisimamishwa mwezi Oktoba na kamati ya maadili ya FIFA kwa muda wa siku tisini kupisha uchunguzi juu ya tuhuma za rushwa zinazowakabili viongozi hao wa juu.

Wote wamekana makosa yao na sasa watakata rufaa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS)

Platini...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rufaa ya Blatter ,Platini yagonga mwamba

Rufaa ya aliyekuwa Rais wa Fifa,Sepp Blatter na raisi wa Uefa Michel Platini zakataliwa

 

9 years ago

BBCSwahili

'Platini akabiliwa na marufuku ya kudumu'

Makamu wa rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Michel Platini huenda akapigwa marufuku ya kudumu

 

9 years ago

BBCSwahili

Platini apigwe marufuku ya maisha :FIFA

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.

Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.

Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yashindwa kupinga rufaa

Kwa wiki ya pili mfululizo magazeti ya Mwananchi Jumamosi na Jumapili yamekuwa yakikuletea Ripoti Maalumu kuhusu baadhi ya watu wanaoendesha uhalifu wakiwa gerezani hasa ujangili. Endelea…

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yakata rufaa ya marufuku ya CAF

Kenya imekata rufaa ya marufuku ya mwaka 1ya kocha Adel Amrouche na shirikisho la soka barani Afrika CAF.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani