Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Platini apigwe marufuku ya maisha :FIFA

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.

Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.

Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...

 

9 years ago

BBCSwahili

Fifa yataka Valcke apigwe marufuku miaka tisa

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza katibu mkuu wa shirikisho hilo linalosimamia soka duniani Bw Jerome Valcke apigwe marufuku miaka tisa.

 

9 years ago

BBCSwahili

'Platini akabiliwa na marufuku ya kudumu'

Makamu wa rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Michel Platini huenda akapigwa marufuku ya kudumu

 

10 years ago

BBC

Platini 'would not change Fifa'

Liberia FA president Musa Bility says fellow Fifa presidential candidate Michel Platini does not represent change and is "unacceptable".

 

9 years ago

BBCSwahili

Platini apoteza rufaa ya kupinga marufuku

Rais wa Shirikisho la Soka Ulaya Uefa Michel Platini ameshindwa katika rufaa yake ya kutaka marufuku ya siku 90 dhidi yake iondolewe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Platini kuwania uongozi wa FIFA

Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini anatarajiwa kutangaza azma yake ya kuwania urais wa FIFA baadaye wiki hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa

Rais wa FIFA Sepp Blatter na rais wa UEFA Michel Platini wanachunguzwa na kamati ya nidhamu ya FIFA

 

9 years ago

Mtanzania

Blatter ampa Platini urais Fifa

sepp-blatter-fifaRAIS wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter, amesema anaamini Michel Platini ana nafasi kubwa ya kuwa rais wa shirikisho hilo.

Blatter mwenye umri wa miaka 79, alitangaza kujiuzulu wadhifa wake ikiwa ni siku nne tu mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa awamu ya tano, sababu za kutangaza kujiuzulu ni kutokana na kashfa ya rushwa.

Platini kwa sasa yupo kati ya watu watano ambao wanawania nafasi hiyo ya urais, ambapo uchaguzi utafanyika Februari 26 mwakani.

Hata hivyo, Platini na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michel Platini kuwania urais wa FIFA

Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michel Platini ametangaza azma yake ya kuwania urais wa shirikisho la soka duniani FIFA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani