Platini apigwe marufuku ya maisha :FIFA
Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Nov
Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.
Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.
Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.
Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Fifa yataka Valcke apigwe marufuku miaka tisa
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
'Platini akabiliwa na marufuku ya kudumu'
10 years ago
BBC
Platini 'would not change Fifa'
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Platini apoteza rufaa ya kupinga marufuku
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Platini kuwania uongozi wa FIFA
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Blatter ampa Platini urais Fifa
RAIS wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter, amesema anaamini Michel Platini ana nafasi kubwa ya kuwa rais wa shirikisho hilo.
Blatter mwenye umri wa miaka 79, alitangaza kujiuzulu wadhifa wake ikiwa ni siku nne tu mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa awamu ya tano, sababu za kutangaza kujiuzulu ni kutokana na kashfa ya rushwa.
Platini kwa sasa yupo kati ya watu watano ambao wanawania nafasi hiyo ya urais, ambapo uchaguzi utafanyika Februari 26 mwakani.
Hata hivyo, Platini na...
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Michel Platini kuwania urais wa FIFA