Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fifa yataka Valcke apigwe marufuku miaka tisa

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza katibu mkuu wa shirikisho hilo linalosimamia soka duniani Bw Jerome Valcke apigwe marufuku miaka tisa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.

Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.

Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...

 

9 years ago

BBCSwahili

Platini apigwe marufuku ya maisha :FIFA

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yampiga marufuku afisa kwa miaka 7

Afisa wa FIFA aliyesimamia jopo la kutathmini uwenyeji wa kombe la dunia la mwaka wa 2018 na 2022 amepigwa marufuku ya miaka 7

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA yampiga marufuku miaka 10 afisa wa Nepal

Mmoja wa maafisa wenye ushawishi mkubwa zaidi katika soka ya bara Asia amepigwa marufuku na FIFA ya miaka kumi kwa tuhuma za ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:FIFA yamtetea Jerome Valcke

Shirikisho la kandanda duniani,FIFA, limekanusha madai kwamba katibu wao mkuu,Jerome Valcke,alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA yaanika siri za Jerome Valcke

Waendesha mashitaka wa Uswisi wamethibitisha kwamba shirikisho la soka duniani,FIFA ,limekubali kuweka wazi akaunti ya barua pepe mali ya Jerome Valcke.

 

9 years ago

BBC

Fifa suspends Blatter, Platini & Valcke

Fifa provisionally suspends president Sepp Blatter, secretary general Jerome Valcke and Uefa chief Michel Platini for 90 days.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa

Shirika la maafisa wa polisi wa kimataifa Interpol limetoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita wanaohusishwa na FIFA

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya maadili ya FIFA yataka Blatter na Platini wasimamishwe kazi kwa siku 90

Kamati ya maadili katika shirikisho la soka duniani FIFA imependekeza Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter asimamishwe kazi kwa siku 90, yeye pamoja na Rais wa UEFA Michel Platini ili kupisha uchunguzi wa ubadhilifu wa fedha wa wakati wa kipindi cha utawala wa Blatter. Wanachama wa kamati hiyo walikutana wiki hii baada […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani