Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka
Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.
Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.
Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.
Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Platini apigwe marufuku ya maisha :FIFA
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Fifa yataka Valcke apigwe marufuku miaka tisa
9 years ago
Bongo508 Oct
Kamati ya maadili ya FIFA yataka Blatter na Platini wasimamishwe kazi kwa siku 90
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
'Platini akabiliwa na marufuku ya kudumu'
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/141BD/production/_84556328_platini.jpg)
Platini 'would not change Fifa'
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Platini apoteza rufaa ya kupinga marufuku
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Platini kuwania uongozi wa FIFA