Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo

Maafisa wawili wa shirikisho la soka nchini Congo Brazaville wamepigwa marufuku na shirikisho la soka duniani FIFA

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Fifa yapiga marufuku maafisa wa Congo

Maafisa wawili wa Shirikisho la Soka la Congo-Brazzaville wamepigwa marufuku miezi sita na shirikisho la soka duniani Fifa.

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.

Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.

Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Fifa wakamatwa Zurich

Maafisa kadha wa Fifa wamekamatwa kwenye msako wa polisi uliofanywa katika hoteli moja kuu mjini Zurich.

 

10 years ago

BBCSwahili

Niqab yapigwa marufuku Congo Brazaville

Jamuhuri ya Congo- Brazaville imepiga marufuku vazi la Niqab katika maeneo ya umma.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wakuu wa riadha Kenya wapigwa marufuku

Kamati ya maadili ya shirikisho la riadha duniani IAAF limewapiga marufuku kwa muda viongozi watatu wa shirikisho la riadha la Kenya.

 

10 years ago

BBC

Congo FA officials banned by Fifa

Two officials from the Congolese Football Association are banned by Fifa for breaches of its code of ethics.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa

Shirika la maafisa wa polisi wa kimataifa Interpol limetoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita wanaohusishwa na FIFA

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi

Waendesha mashtaka nchini Marekani wametangaza mashtaka mapya dhidi ya maafisa wapatao kumi na sita wa shirikisho la kandanda duniani FIFA kwa kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi ndani ya shirikisho hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Uruguay atukana maafisa wa FIFA

Jose Mujica amewatukana maafisa wa FIFA kwa kumpiga marufuku mchezaji wa nchi hiyo Luis Suarez.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani