Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fifa yapiga marufuku maafisa wa Congo

Maafisa wawili wa Shirikisho la Soka la Congo-Brazzaville wamepigwa marufuku miezi sita na shirikisho la soka duniani Fifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo

Maafisa wawili wa shirikisho la soka nchini Congo Brazaville wamepigwa marufuku na shirikisho la soka duniani FIFA

 

9 years ago

BBCSwahili

Somalia yapiga marufuku Krismasi

Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za kuadhimisha sikukuu ya Krismasi katika mji mkuu wa Mogadishu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...

 

11 years ago

BBCSwahili

S.Leone yapiga marufuku Kandanda

Mechi zote za kandanda nchini Sierra Leone zimepigwa marufuku kuzuia kuenea zaidi kwa Ebola

 

9 years ago

Mwananchi

KKKT Karanga yapiga marufuku vimini

Usharika wa Karanga wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) katika Dayosisi ya Kaskazini, umepiga marufuku uvaaji wa nguo zisizo na heshima ndani ya kanisa hilo.

 

10 years ago

Mtanzania

China yapiga marufuku pembe za ndovu

Grace Shitundu na Hadia Khamis, Dar es Salaam
SERIKALI ya China imetangaza kuzuia uingizwaji wa pembe za ndovu nchini humo kwa mwaka mmoja ili kudhibiti kushamiri kwa biashara hiyo.
Hatua hiyo imechukuliwa na China wakati taifa hilo na nchi nyingine za Bara la Asia zikilalamikiwa na dunia kwa kuwa na soko kubwa la meno ya tembo hivyo kuchochea ujangili duniani.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanyamapori duniani, Waziri wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Gambia yapiga marufuku tohara ya wanawake

Rais wa Gambia,Yahya Jammeh,amepiga marufuku tohara ya wanawake nchini humo akisema inakwenda kinyume na mafundisho ya kiislamu.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yapiga marufuku maandamano Chadema

JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini. Jeshi hilo limeonya kuwa maandamano hayo ni batili na ni kinyume cha sheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Senegal yapiga marufuku Charlie Hebdo

Senegal imepiga marufuku usambazaji wa jarida la kifaransa la Charlie Hebdo ambalo limechora kibonzo cha kumkejeli mtume Muhammad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani