Gambia yapiga marufuku tohara ya wanawake
Rais wa Gambia,Yahya Jammeh,amepiga marufuku tohara ya wanawake nchini humo akisema inakwenda kinyume na mafundisho ya kiislamu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 May
CHAWAMAMU yapiga marufuku waganga wa tiba mbadala kuwafanyia tohara watoto wachanga
Afisa tarafa wa Kirumi, Bw. Juma Salumu Sima (kushoto), Katibu mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida,Dk.Tano Mika Likapakapa (katikati) na Afisa mtendaji wa kata ya Mwangeza (kulia).
Na. Jumbe Ismailly, Mkalama
CHAMA cha Watafiti wa Maleria Sugu, Ukimwi na Mazingira Tanzania (CHAWAMAMU) Mkoani Singida kimepiga marufuku waganga wa tiba mbadala wasiokuwa na ujuzi wa kuwafanyia tohara pamoja na kuwakata kilimi watoto wachanga, kuacha mara moja kuendelea na kazi hiyo.
Katibu mkuu wa...
11 years ago
BBCSwahili30 Sep
CAF yaondoa marufuku ya Gambia
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
S.Leone yapiga marufuku Kandanda
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Somalia yapiga marufuku Krismasi
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...
11 years ago
Habarileo18 Sep
Polisi yapiga marufuku maandamano Chadema
JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini. Jeshi hilo limeonya kuwa maandamano hayo ni batili na ni kinyume cha sheria.
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wizara yapiga marufuku uchimbaji mchanga
SERIKALI imefuta vibali vyote vya uchimbaji mchanga katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma ili kunusuru vyanzo vya maji na mazingira.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Ivory Coast yapiga marufuku Mikorogo
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Senegal yapiga marufuku Charlie Hebdo