Somalia yapiga marufuku Krismasi
Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za kuadhimisha sikukuu ya Krismasi katika mji mkuu wa Mogadishu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
S.Leone yapiga marufuku Kandanda
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Polisi yapiga marufuku ‘vigodoro’
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku kumbi zote za starehe kupiga disko toto pamoja na disko vumbi maarufu kama ‘vigodoro’ ili kuepusha fujo katika kusherehekea...
10 years ago
Mtanzania04 Mar
China yapiga marufuku pembe za ndovu
Grace Shitundu na Hadia Khamis, Dar es Salaam
SERIKALI ya China imetangaza kuzuia uingizwaji wa pembe za ndovu nchini humo kwa mwaka mmoja ili kudhibiti kushamiri kwa biashara hiyo.
Hatua hiyo imechukuliwa na China wakati taifa hilo na nchi nyingine za Bara la Asia zikilalamikiwa na dunia kwa kuwa na soko kubwa la meno ya tembo hivyo kuchochea ujangili duniani.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanyamapori duniani, Waziri wa...
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Gambia yapiga marufuku tohara ya wanawake
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wizara yapiga marufuku uchimbaji mchanga
SERIKALI imefuta vibali vyote vya uchimbaji mchanga katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma ili kunusuru vyanzo vya maji na mazingira.
10 years ago
Habarileo18 Sep
Polisi yapiga marufuku maandamano Chadema
JESHI la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini. Jeshi hilo limeonya kuwa maandamano hayo ni batili na ni kinyume cha sheria.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Ivory Coast yapiga marufuku Mikorogo
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
TFDA yapiga marufuku vipodozi 200
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imepiga marufuku vipodozi 222, baada ya kugundulika kuwa vina viambata vyenye sumu. Kaimu Meneja wa TFDA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Rodney Alananga,...
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Chad yapiga marufuku vazi la Burqa