Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Uruguay atukana maafisa wa FIFA

Jose Mujica amewatukana maafisa wa FIFA kwa kumpiga marufuku mchezaji wa nchi hiyo Luis Suarez.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Fifa wakamatwa Zurich

Maafisa kadha wa Fifa wamekamatwa kwenye msako wa polisi uliofanywa katika hoteli moja kuu mjini Zurich.

 

9 years ago

BBCSwahili

Fifa yapiga marufuku maafisa wa Congo

Maafisa wawili wa Shirikisho la Soka la Congo-Brazzaville wamepigwa marufuku miezi sita na shirikisho la soka duniani Fifa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi

Waendesha mashtaka nchini Marekani wametangaza mashtaka mapya dhidi ya maafisa wapatao kumi na sita wa shirikisho la kandanda duniani FIFA kwa kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi ndani ya shirikisho hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saa za gharama zawaponza maafisa FIFA

Shirikisho la soka duniani FIFA, limewaambia viongozi wanaounda kamati ya utendaji na viongozi wengine wa juu wa shirikisho hilo kurejesha saa zipatazo 65 za gharama.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa

Shirika la maafisa wa polisi wa kimataifa Interpol limetoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita wanaohusishwa na FIFA

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yawapa marufuku maafisa wa soka Congo

Maafisa wawili wa shirikisho la soka nchini Congo Brazaville wamepigwa marufuku na shirikisho la soka duniani FIFA

 

10 years ago

GPL

MAAFISA WA FIFA WAKAMATWA ZURICH KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Polisi wakiwa katika harakati ya kuwakamata maofisa hao. Makamu wa rais wa FIFA Jeffrey Webb ni miongoni mwa maofisa wa FIFA waliokamatwa katika hotelia ya Zurich nchini Switzerland. Polisi wakiwakamata maofisa hao.…

 

10 years ago

Vijimambo

MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND

Maafisa saba wa juu wa shirikisho la soka duniani, FIFA wamekamatwa kwa shutuma za kupokea rushwa. Maafisa hao walikamatwa kwenye hoteli ya Baur au Lac ya jijini Zurich, Jumatano hii. Polisi wa Uswisi wamekamata maafisa hao wakiwemo makamu wa rais wawili baada ya kuivamia kwa kushtukiza hoteli hiyo. Makamu wa rais wa FIFA, Jeffrey Webb anaaminika kuwa mmoja wa maafisa waliokamatwa alfajiri ya leo wakiwa kwenye hoteli ya kifahari nchini Uswisi
 Eduardo Li, kutoka Costa Rica naye pia alikamatwa...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete na Rais Kabila waongoza sherehe za Kuhitimu Maafisa Wapya wa Jeshi

 Amiri Jeshi Mkuu, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitunuku kamisheni kwa maofisa wa Jeshi wanafunzi kundi la 54/13 DRC katika chuo cha Mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli Mkoani Arusha jana Jumamosi Oktoba 18, 2014  Maafisa wapya wa jeshi la Wananchi wa Tanzania wakila kiapo cha utii kwa Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa hafla ya kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa jeshi la wananchi wa Tanzania iliyofanyika katika chuo cha mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani