Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAAFISA WA FIFA WAKAMATWA ZURICH KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Polisi wakiwa katika harakati ya kuwakamata maofisa hao. Makamu wa rais wa FIFA Jeffrey Webb ni miongoni mwa maofisa wa FIFA waliokamatwa katika hotelia ya Zurich nchini Switzerland. Polisi wakiwakamata maofisa hao.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND

Maafisa saba wa juu wa shirikisho la soka duniani, FIFA wamekamatwa kwa shutuma za kupokea rushwa. Maafisa hao walikamatwa kwenye hoteli ya Baur au Lac ya jijini Zurich, Jumatano hii. Polisi wa Uswisi wamekamata maafisa hao wakiwemo makamu wa rais wawili baada ya kuivamia kwa kushtukiza hoteli hiyo. Makamu wa rais wa FIFA, Jeffrey Webb anaaminika kuwa mmoja wa maafisa waliokamatwa alfajiri ya leo wakiwa kwenye hoteli ya kifahari nchini Uswisi
 Eduardo Li, kutoka Costa Rica naye pia alikamatwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Fifa wakamatwa Zurich

Maafisa kadha wa Fifa wamekamatwa kwenye msako wa polisi uliofanywa katika hoteli moja kuu mjini Zurich.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rushwa:Maafisa wa Soka wakamatwa Zurich

Maafisa Sita wa Soka wamekamatwa mjini Zurich nchini Uswisi kwa shutuma za rushwa

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA FIFA, THABO MBEKI AHUSISHWA NA TUHUMA ZA RUSHWA

Rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki. Waziri wa Michezo wa Afrika Kusini, Fikile Mbalula, amesema rais wa zamani wa Afrika kusini, Thabo Mbeki, ndiye aliyeruhusu ulipwaji wa dola milioni 10 kwa FIFA, hela ambazo sasa zinadaiwa zilikuwa rushwa. Serikali ya Afrika Kusini imekuwa ikisisitiza kwamba fedha hizo zilikuwa ni sehemu ya mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean lakini waendesha mashtaka wa Marekani...

 

11 years ago

Mwananchi

TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi

>Mwamuzi msaidizi wa soka nchini, Hamis Chang’walu anasakwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kwa wizi wa nguo za kike, maarufu ‘madela’ katika kesi ambayo inahusisha watu wengine watatu ambao wamekamatwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Saba wakamatwa kwa tuhuma za ujambazi Z’bar

Jumla ya watu saba wamekamatwa na Polisi mjini hapa kwa tuhuma za ujambazi, akiwamo anayedaiwa kuwa Ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa anayefanyia kazi Dar es Salaam baada ya kuzidiwa nguvu na wananchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakuu wakamatwa kwa sababu ya rushwa Serbia

Polisi nchini Serbia wamewakamata watu 79, akiwemo waziri wa zamani kwa tuhuma za ufisadi.

 

11 years ago

Michuzi

watuhumiwa 25 wakamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ugaidi nchini

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya
 Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu.Kufuatia tukio la mlipuko wa bomu siku ya tarehe 7/7/2014 majira ya saa 22.15 usiku katika mgahawa wa VAMA, eneo la Uzunguni Jijini Arusha, ambapo watu wanane walijeruhiwa, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa 25 kwa uchunguzi.Kufuatia uchunguzi huo kati yao watu sita watafikishwa mahakamani mapema iwezakanavyo. Watuhumiwa watakaofikishwa Mahakamani kwa tukio hilo ni: SHAABAN MUSSA MMASA @ JAMAL, Umri miaka 26...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WAWILI WAKAMATWA TUNDUMA KWA TUHUMA ZA UHALIFU


MNAMO TAREHE 24.04.2015 MAJIRA YA SAA 09:30 ASUBUHI HUKO MAENEO YA MTAA WA SOGEA KATIKA MJI MDOGO WA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA, VIJANA WAWILI WALIOTAMBULIKA KWA MAJINA YA 1. MATHEW ANGANILE MWAFONGO @ RASI (27) MKAZI WA TUNDUMA NA MWENZAKE AITWAYE SALEHE TABULEI SICHALWE (22) MKAZI WA MAJENGO TUNDUMA WALIKAMATWA NA POLISI BAADA YA WANANCHI WA ENEO HILO KUWATILIA MASHAKA KUWA NI WAHALIFU, HII NI KUTOKANA NA MVAO WAO AMBAO ULIKUWA UMEFICHA SURA ZAO.


VIJANA HAO WALIKUWA WAKITUMIA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani