Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafisa wa Fifa wakamatwa Zurich

Maafisa kadha wa Fifa wamekamatwa kwenye msako wa polisi uliofanywa katika hoteli moja kuu mjini Zurich.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAAFISA WA FIFA WAKAMATWA ZURICH KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Polisi wakiwa katika harakati ya kuwakamata maofisa hao. Makamu wa rais wa FIFA Jeffrey Webb ni miongoni mwa maofisa wa FIFA waliokamatwa katika hotelia ya Zurich nchini Switzerland. Polisi wakiwakamata maofisa hao.…

 

10 years ago

Vijimambo

MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND

Maafisa saba wa juu wa shirikisho la soka duniani, FIFA wamekamatwa kwa shutuma za kupokea rushwa. Maafisa hao walikamatwa kwenye hoteli ya Baur au Lac ya jijini Zurich, Jumatano hii. Polisi wa Uswisi wamekamata maafisa hao wakiwemo makamu wa rais wawili baada ya kuivamia kwa kushtukiza hoteli hiyo. Makamu wa rais wa FIFA, Jeffrey Webb anaaminika kuwa mmoja wa maafisa waliokamatwa alfajiri ya leo wakiwa kwenye hoteli ya kifahari nchini Uswisi
 Eduardo Li, kutoka Costa Rica naye pia alikamatwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rushwa:Maafisa wa Soka wakamatwa Zurich

Maafisa Sita wa Soka wamekamatwa mjini Zurich nchini Uswisi kwa shutuma za rushwa

 

11 years ago

Michuzi

ZIARA YA RAIS WA TFF MAKAO MAKUU YA FIFA JIJINI ZURICH, SWITZERLAND


Sepp Blatter akiwa na Rais wa TFF, Jamal Emil Malinzi wakiwa wote na Katibu Mkuu wa FIFA, Bw. Jerome ValckeSepp Blatter akiwa na Rais wa TFF, Jamal Emil Malinzi, walipokutana Alhamis, tarehe 22 Mei, 2014 kwenye makao makuu ya FIFA, jijini Zurich, Switzerland.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Ruihai wakamatwa Uchina

Wamiliki na wakurugenzi wa kampuni ya Ruihai nchini Uchina wakamatwa na polisi kuhusiana na milipuko Tianjin

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa

Shirika la maafisa wa polisi wa kimataifa Interpol limetoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita wanaohusishwa na FIFA

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Uruguay atukana maafisa wa FIFA

Jose Mujica amewatukana maafisa wa FIFA kwa kumpiga marufuku mchezaji wa nchi hiyo Luis Suarez.

 

11 years ago

BBCSwahili

Saa za gharama zawaponza maafisa FIFA

Shirikisho la soka duniani FIFA, limewaambia viongozi wanaounda kamati ya utendaji na viongozi wengine wa juu wa shirikisho hilo kurejesha saa zipatazo 65 za gharama.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi

Waendesha mashtaka nchini Marekani wametangaza mashtaka mapya dhidi ya maafisa wapatao kumi na sita wa shirikisho la kandanda duniani FIFA kwa kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi ndani ya shirikisho hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani