Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maafisa wa Ruihai wakamatwa Uchina

Wamiliki na wakurugenzi wa kampuni ya Ruihai nchini Uchina wakamatwa na polisi kuhusiana na milipuko Tianjin

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Pembe za ndovu:Raia wa Uchina wakamatwa TZ

Jopo maalum la wanyama pori nchini Tanzania limewakamata baadhi ya raia wa Uchina wanaoushukiwa kusafirisha pembe za ndovu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wa Fifa wakamatwa Zurich

Maafisa kadha wa Fifa wamekamatwa kwenye msako wa polisi uliofanywa katika hoteli moja kuu mjini Zurich.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rushwa:Maafisa wa Soka wakamatwa Zurich

Maafisa Sita wa Soka wamekamatwa mjini Zurich nchini Uswisi kwa shutuma za rushwa

 

10 years ago

GPL

MAAFISA WA FIFA WAKAMATWA ZURICH KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Polisi wakiwa katika harakati ya kuwakamata maofisa hao. Makamu wa rais wa FIFA Jeffrey Webb ni miongoni mwa maofisa wa FIFA waliokamatwa katika hotelia ya Zurich nchini Switzerland. Polisi wakiwakamata maofisa hao.…

 

10 years ago

Vijimambo

MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND

Maafisa saba wa juu wa shirikisho la soka duniani, FIFA wamekamatwa kwa shutuma za kupokea rushwa. Maafisa hao walikamatwa kwenye hoteli ya Baur au Lac ya jijini Zurich, Jumatano hii. Polisi wa Uswisi wamekamata maafisa hao wakiwemo makamu wa rais wawili baada ya kuivamia kwa kushtukiza hoteli hiyo. Makamu wa rais wa FIFA, Jeffrey Webb anaaminika kuwa mmoja wa maafisa waliokamatwa alfajiri ya leo wakiwa kwenye hoteli ya kifahari nchini Uswisi
 Eduardo Li, kutoka Costa Rica naye pia alikamatwa...

 

11 years ago

Michuzi

SABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA

Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam akionesha noti bandia zilizokamatwaJeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za dola ya Kimarekani huko maeneo ya Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni, jijini Dar es Salaam. 
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchina na Vietnam wazozania nini?

Vietnam wasema meli ya Uchina imelizamisha maksudi boti la wavuvi wa Vietnam katika eneo tata kusini mwa bahari ya China.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulio la sokoni Uchina lawaua 31

Watu ambao hawajafahamika wameshambulia soko kalika mji wa Urumqi na kuwauwa watu 31 kwa mujibu wa vyomba vya habari vya Uchina

 

9 years ago

BBCSwahili

Mauzo ya hisa yayumba Uchina

Mauzo ya hisa katika soko la Hong kong nchini Uchina yametatizika baada ya taarifa ya kutoweka kwa mmiliki wa kampuni kubwa ya uwekezaji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani