Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchina na Vietnam wazozania nini?

Vietnam wasema meli ya Uchina imelizamisha maksudi boti la wavuvi wa Vietnam katika eneo tata kusini mwa bahari ya China.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uchina wajeruhiwa Vietnam

Shirika rasmi la habari nchini Uchina Xhinua limesema kuwa serikali imewaondoa zaidi ya raia wake 3000 nchini Vietnam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazozania 'BBC' India

Kampuni mbili za kuuza chakula katika mji wa India wa Mumbai zimeenda mahakamani kupigania utumizi wa jina BBC kwa ufupi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vietnam kuleta simu za kisasa

KAMPUNI ya Viettel ya Vietnam, inakusudia kuingia katika soko la simu la Tanzania kwa kuleta simu za kisasa zenye uwezo mkubwa (smart phone) kwa bei ya chini katika miaka mitano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Raia wa Vietnam wapandishwa kizimbani

WATU watatu raia wa Vietnam wamepandishwa kizimbani  katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kwa tuhuma za kuingia kwenye makazi ya wakimbizi ya Katumba, Wilaya ya Mlele, mkoani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kuimarisha uhusiano na Vietnam

Rais Barack Obama amefanya mazungumzo na jamii ya wavietnam,Ikulu ya Marekani katika kipindi cha miaka ishirini iliyopita.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

JK ateta na ujumbe toka Vietnam


NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete, jana alikutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka kampuni ya simu ya Viettel kutoka Vietnam, ukiongozwa na Le Dang Dung ambaye ni Makamu wa Rais wa Kundi la Kampuni za Viettel Group.
Kwenye mkutano huo uliofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Dung alifuatana na Tao Duc Thang ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Shughuli za Kimataifa za Kampuni hiyo – Viettel Global.
Dung amemwelezea Rais Kikwete kuhusu mipango ya Viettel kuwekeza katika shughuli ya mawasiliano ya...

 

10 years ago

TheCitizen

TZ and Vietnam to launch new mobile network service

Vietnam’s Viettel Group expects to launch mobile operations in Tanzania in October 2015 under the brand name Halotel.

 

11 years ago

Michuzi

President Kikwete in Hanoi,Vietnam today

President Dr Jakaya Mrisho Kikwete lies a wreath at the Mausoleum of the First President Ho Chi Minh in Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014.President Dr Jakaya Mrisho Kikwete visits the Hung Fen Food Stuff Corporation at Trung Son in Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014. President Dr Jakaya Mrisho Kikwete in a souvenir photo with workers of the Garment 10 Corporation textile mill he visited...

 

11 years ago

Michuzi

PINDA AKUTANA NA WAWEKEZAJI TOKA VIETNAM

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Tekinolojia, Profefesa Makame Mbarawa  (kulia)wakizungumza na Wawekezaji katika Tekinolojia ya Mawasiliano kutoka Vietnam, Nguyen  Quang (w apili kulia) na Pham Dai Bach (katikati)l ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni Mjini Dodoma May 10, 2014. Wapili kushoto ni mwenyeji wa wawekezaji hao, Balozi  F. Mdolwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani