PINDA AKUTANA NA WAWEKEZAJI TOKA VIETNAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-GYrmzobIFFI/U23RSAxwhmI/AAAAAAAFgoM/2MvzW_GcKMQ/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Tekinolojia, Profefesa Makame Mbarawa (kulia)wakizungumza na Wawekezaji katika Tekinolojia ya Mawasiliano kutoka Vietnam, Nguyen Quang (w apili kulia) na Pham Dai Bach (katikati)l ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni Mjini Dodoma May 10, 2014. Wapili kushoto ni mwenyeji wa wawekezaji hao, Balozi F. Mdolwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 May
Pinda akutana na wawekezaji toka Poland
Waziri mkuu, Miengo Pinda akizungumza na wawekezaji na watalaamu wa kujenga vihenge vya kisasa na vyenye uwezo wa kuhifadhi tani nyingi za nafaka hasa mahindi ambao wanatarajia kujenga vihenge hivyo hapa nchini. Watalaamu na wakezaji hao kutoka Poland ambao wakulikutana na Waziri Mkuu mjini Dodoma Mei 12, kutoka kushoto ni Honorta Maslowsk, Witold Karczewski ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara waPolland na Aleksandar Zingman. (Picha na Ofisi ya Waziri...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2LKwebgLoP0/VVIYaSwh3_I/AAAAAAAHW30/LZAa-Rv__sA/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WAWEKEZAJI TOKA POLLAND
![](http://1.bp.blogspot.com/-2LKwebgLoP0/VVIYaSwh3_I/AAAAAAAHW30/LZAa-Rv__sA/s640/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Pinda akutana na wawekezaji kutoka Russia
![2015-01-20 23-51-05](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/2015-01-20-23-51-05.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s1600/IMG_2215.jpg)
WAZIRI KIGODA AKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI TOKA UJERUMANI WANAOTAKA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA,TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s72-c/IMG_2215.jpg)
WAZIRI KIGODA AKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI TOKA UJERUMANI WANAOTAKA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA, TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s1600/IMG_2215.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1Fb7ZLGp7Q/UyojFC0qEJI/AAAAAAAA3ic/EsRpxRsx0uY/s1600/IMG_2209.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_eN2tg6T6Sk/UyojsFupRUI/AAAAAAAA3is/tMkGGQ8Vf3c/s1600/IMG_2186.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
JK ateta na ujumbe toka Vietnam
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete, jana alikutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka kampuni ya simu ya Viettel kutoka Vietnam, ukiongozwa na Le Dang Dung ambaye ni Makamu wa Rais wa Kundi la Kampuni za Viettel Group.
Kwenye mkutano huo uliofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Dung alifuatana na Tao Duc Thang ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Shughuli za Kimataifa za Kampuni hiyo – Viettel Global.
Dung amemwelezea Rais Kikwete kuhusu mipango ya Viettel kuwekeza katika shughuli ya mawasiliano ya...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete akutana na Watanzania waishio India-akutana na Wawekezaji
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9N-UvlcSCPs/U7F9C_xIfLI/AAAAAAAFtqs/Smnucll6C14/s72-c/unnamed+(33).jpg)
JK akutana na makamu wa Rais wa Kampuni ya Viettel group ya Vietnam
![](http://2.bp.blogspot.com/-9N-UvlcSCPs/U7F9C_xIfLI/AAAAAAAFtqs/Smnucll6C14/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KH09UlywMuo/U7F9DzntDcI/AAAAAAAFtq0/_WjoF7WOrVE/s1600/unnamed+(34).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Rw5ComqIH4g/VJVJaFZDh3I/AAAAAAACUlY/ShYVw1z-cwk/s72-c/731.jpg)
BALOZI IDDI AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA MITATANDAO YA VIETNAM TAWI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-Rw5ComqIH4g/VJVJaFZDh3I/AAAAAAACUlY/ShYVw1z-cwk/s640/731.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S3WrsbxSq7E/VJVJaK9zZQI/AAAAAAACUlI/TDjRmsApqzs/s640/749.jpg)