WAZIRI KIGODA AKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI TOKA UJERUMANI WANAOTAKA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA,TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s1600/IMG_2215.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Omar Kigoda akiongea ofisini kwake jijini Dar es Salaam na ujumbe kutoka kampuni ya Ujerumani ya Helma Dungemittel ambayo ina mpango wa kuwekeza kwenye kiwanda cha kuzalisha mbolea kwa kutumia gesi asilia. Pembeni yake ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Bi. Janet Mbene pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Bw. Oliver Mehl. Waziri wa Viwanda na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s72-c/IMG_2215.jpg)
WAZIRI KIGODA AKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI TOKA UJERUMANI WANAOTAKA KUJENGA KIWANDA CHA MBOLEA, TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuYVhq86VPQ/UyohVmgca-I/AAAAAAAA3iQ/itX25u7AYzE/s1600/IMG_2215.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1Fb7ZLGp7Q/UyojFC0qEJI/AAAAAAAA3ic/EsRpxRsx0uY/s1600/IMG_2209.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_eN2tg6T6Sk/UyojsFupRUI/AAAAAAAA3is/tMkGGQ8Vf3c/s1600/IMG_2186.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO JAPHET HASUNGA ATEMBELEA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU MKOANI MANYARA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TUD8BuQb41o/U8aUMZICkDI/AAAAAAAF2z4/c3jAY0_-YqI/s72-c/unnamed.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI AKUTANA NA UJUMBE TOKA CHUO CHA ST THOMAS CHA MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-TUD8BuQb41o/U8aUMZICkDI/AAAAAAAF2z4/c3jAY0_-YqI/s1600/unnamed.jpg)
Wanafunzi hao ambao kwa idadi yao ni wanafunzi 14 wanaochukua Shahada za Uzamivu na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2LKwebgLoP0/VVIYaSwh3_I/AAAAAAAHW30/LZAa-Rv__sA/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WAWEKEZAJI TOKA POLLAND
![](http://1.bp.blogspot.com/-2LKwebgLoP0/VVIYaSwh3_I/AAAAAAAHW30/LZAa-Rv__sA/s640/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 May
Pinda akutana na wawekezaji toka Poland
Waziri mkuu, Miengo Pinda akizungumza na wawekezaji na watalaamu wa kujenga vihenge vya kisasa na vyenye uwezo wa kuhifadhi tani nyingi za nafaka hasa mahindi ambao wanatarajia kujenga vihenge hivyo hapa nchini. Watalaamu na wakezaji hao kutoka Poland ambao wakulikutana na Waziri Mkuu mjini Dodoma Mei 12, kutoka kushoto ni Honorta Maslowsk, Witold Karczewski ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara waPolland na Aleksandar Zingman. (Picha na Ofisi ya Waziri...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GYrmzobIFFI/U23RSAxwhmI/AAAAAAAFgoM/2MvzW_GcKMQ/s72-c/unnamed+(49).jpg)
PINDA AKUTANA NA WAWEKEZAJI TOKA VIETNAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-GYrmzobIFFI/U23RSAxwhmI/AAAAAAAFgoM/2MvzW_GcKMQ/s1600/unnamed+(49).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJPSjHl-YOI/U_gxpWPrIDI/AAAAAAAGBhU/4TuyiVk4mjs/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Balozi Seif akutana na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya ushauri wa Uhandisi wa Ujenzi toka Misri
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPGzAIzMbVRRhvw*db2db-49iWs9yiiqzAvboPf6JnNP3uD*tZCMZhpBF9UizWNLm*xdE5LRQJUXeDxV3CZCFetF/ws.jpg?width=650)
ROBOTI LAMUUA MFANYAKAZI KIWANDA CHA MAGARI CHA VOLKSWAGEN UJERUMANI
9 years ago
Habarileo14 Sep
Aahidi kujenga kiwanda cha korosho
MGOMBEA Mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema iwapo mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli atapata ridhaa ya kuunda serikali ya awamu ya tano, atajenga kiwanda cha kisasa cha kubangua na kufungasha korosho katika wilaya ya Mkuranga.