Balozi Seif akutana na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya ushauri wa Uhandisi wa Ujenzi toka Misri
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJPSjHl-YOI/U_gxpWPrIDI/AAAAAAAGBhU/4TuyiVk4mjs/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amekutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa Wataalamu wa Ujenzi, Miundo mbinu pamoja na usanifu Miji ya Kisasa wa Taasisi ya Ushauri wa Uhandisi { ECG } Kutoka Nchini Misri. Ujumbe huo unaoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi hiyo Mhandisi Amr Alouba upo Nchini kuangalia maeneo ambayo unaweza kushirikiana na Zanzibar katika Sekta ya Uwekezaji. Katika mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eHEEyJfOV6g/VbyZNXUN7YI/AAAAAAAHs_c/Fr4Gyt13Zuo/s72-c/261.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar akutana na ujumbe Taasisi ya Ushauri wa Uhandisi katika miundombinu ya ujenzi, usarifu wa Miji, Majengo ya Kisasa pamoja na Vituo vya Kimataifa vya Biashara { ECG } ya Nchini Misri
![](http://3.bp.blogspot.com/-eHEEyJfOV6g/VbyZNXUN7YI/AAAAAAAHs_c/Fr4Gyt13Zuo/s640/261.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MfGNEyT6AMc/VbyZNb28knI/AAAAAAAHs_Y/hYsB-nlBxRU/s640/267.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--rZks7cQLrY/UzFV-FrTrFI/AAAAAAAFWKw/g014YPiiMNk/s72-c/unnamed+(26).jpg)
balozi seif akutana na Taasisi za uwekezaji vitega uchumi kutoka Kampuni mbali mbali za Kimataifa za ujenzi mjini Dodoma leo
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_V_f0dl31KE/ViI4LrSwAuI/AAAAAAABKFo/kd9t1YFszLM/s72-c/790.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA UJUMBE WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE
![](http://3.bp.blogspot.com/-_V_f0dl31KE/ViI4LrSwAuI/AAAAAAABKFo/kd9t1YFszLM/s640/790.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wa Kwanza kutoka kulia akiuhakikishia Ujumbe wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kwamba Uchaguzi Mkuu wa Tarehe 25 Mwezi huu utafanyika katika misingi ya haki na amani hapa Zanzibar.
Ujumbe huo unaoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wake Bwana Joseph Butiku wa Pili kutoka Kushoto up[o Zanzibar kukutana na Viongozi wa ngazi za juu kujaribu kusaidia mawazo ya kuona Taifa linaendelea kudumisha amani iliyopo Nchini. Picha na –OMPR – ZNZ.
Makamu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XpQS66_Lzm4/U3DNiRpaU2I/AAAAAAAFhHo/mNivWXP3Lqg/s72-c/unnamed+(37).jpg)
balozi seif akagua nyumba iliyoporomoka vuga, akutana na mwekezaji toka india
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-okSV4ei03OI/VROTEdCLCDI/AAAAAAAHNRw/MuENVEgzoqA/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Maalim Seif akutana na rais wa taasisi ya Kimataifa ya Global Peace Foundation, atembelea ofisi za CUF zilizochomwa moto Dimani
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Balozi Seif akutana na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya usafiri na matengenezo ya Ndege la AVIC
Picha na – OMPR – ZNZ. Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya usafiri na matengenezo ya Ndege la avic kutoka Jamuhuri ya Watu wa China limejitolea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuanzisha mradi […]
The post Balozi Seif akutana na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya usafiri na matengenezo ya Ndege la AVIC appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a6Ic6IuA_5A/VDAY0CWyKjI/AAAAAAAGn2M/fMXcl-95N9M/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA MAREKANI, AKAGUA UJENZI WA BARABARA WETE, PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-a6Ic6IuA_5A/VDAY0CWyKjI/AAAAAAAGn2M/fMXcl-95N9M/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0BCqtD70m6o/VDAY0tFkH6I/AAAAAAAGn2Q/XfpR_Z7B0IU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-czjvtJimf-M/VD6sBsx1AhI/AAAAAAAGqto/sNlEt6hH7JE/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
balozi kamala akutana na katibu mkuu wa taasisi ya kusambaza umeme vijijini na Mkuu Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Jiji la Oestende la Ubelgji
![](http://2.bp.blogspot.com/-czjvtJimf-M/VD6sBsx1AhI/AAAAAAAGqto/sNlEt6hH7JE/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6XOtwLRyYbI/VD6r1z_Z3TI/AAAAAAAGqtg/94WUNPb-mfs/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s72-c/004.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-1C43w309w40/VVyVIx3f6NI/AAAAAAAHYio/sRc9kptrRHQ/s640/004.jpg)