BALOZI SEIF AKUTANA NA UJUMBE WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE
![](http://3.bp.blogspot.com/-_V_f0dl31KE/ViI4LrSwAuI/AAAAAAABKFo/kd9t1YFszLM/s72-c/790.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wa Kwanza kutoka kulia akiuhakikishia Ujumbe wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kwamba Uchaguzi Mkuu wa Tarehe 25 Mwezi huu utafanyika katika misingi ya haki na amani hapa Zanzibar.
Ujumbe huo unaoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wake Bwana Joseph Butiku wa Pili kutoka Kushoto up[o Zanzibar kukutana na Viongozi wa ngazi za juu kujaribu kusaidia mawazo ya kuona Taifa linaendelea kudumisha amani iliyopo Nchini. Picha na –OMPR – ZNZ.
Makamu wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJPSjHl-YOI/U_gxpWPrIDI/AAAAAAAGBhU/4TuyiVk4mjs/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Balozi Seif akutana na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya ushauri wa Uhandisi wa Ujenzi toka Misri
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--rZks7cQLrY/UzFV-FrTrFI/AAAAAAAFWKw/g014YPiiMNk/s72-c/unnamed+(26).jpg)
balozi seif akutana na Taasisi za uwekezaji vitega uchumi kutoka Kampuni mbali mbali za Kimataifa za ujenzi mjini Dodoma leo
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Taasisi ya Mwalimu Nyerere yaandaa mdahalo
TAASISI ya Mwalimu Nyerere imeandaa mdahalo wa kukumbuka na kuenzi mchango wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika kujenga, kutetea, kulinda na kudumisha amani Duniani. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi...
10 years ago
VijimamboMAKONDA: SIKUVURUGA MKUTANO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE
(Patrick Bozohera na Gabriel Ng’osha/GPL)KATIBU Mwenezi Idara ya Hamasa na Chipukizi ya UVCCM, Paul Makonda, amekana kuhusika katika vurugu zilizotokea jana katika mdahalo wa Katiba Iliyopendekezwa ambao ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere chini ya Mwenyekiti wake Joseph Butiku.
Hayo ameyasema leo...
10 years ago
GPLMAKONDA: SIKUVURUGA MKUTANO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE
10 years ago
GPLTAASISI YA MWALIMU NYERERE KUFANYA MKUTANO KESHO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zW3vQ1vjhKo/VFe8Jt2afbI/AAAAAAAGvWI/jQqXV2hGc4U/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KPjCt49MsxQ/VheQ5yBN8xI/AAAAAAABJnU/S9zSKwCMXtg/s72-c/397.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI MPYA WA DENMARK NCHINI TANZANIA, EINAR HEBOGARD JENSEN
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPjCt49MsxQ/VheQ5yBN8xI/AAAAAAABJnU/S9zSKwCMXtg/s640/397.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fAmKLi5WSc4/VheQ7P-a0iI/AAAAAAABJnc/Mc5rFM1Z8p8/s640/423.jpg)
Denmark imeahidi kuendelea kuiunga Mkono Zanzibar katika harakati zake za Kiuchumi na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...