SABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam akionesha noti bandia zilizokamatwaJeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za dola ya Kimarekani huko maeneo ya Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Saba wakamatwa kwa tuhuma za ujambazi Z’bar
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Saba wakamatwa kwa kulea watoto Moshi
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa vituo vitatu vilivyogundulika kuhifadhi watoto 147 kwa siri Katika Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alitoa taarifa hiyo jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema kwamba, watu hao wanashikiliwa kwa kosa la kulea watoto katika mazingira hatarishi na kusababisha wengine wasiendelee na masomo kinyume cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s72-c/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s640/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vqqdr1C2m4I/VWXa_UWJKBI/AAAAAAABPZw/PFNdnr68D7o/s640/2916BB2300000578-3098633-Six_high_ranking_FIFA_executives-a-86_1432706905792.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gwH3to2ZXp0/VWXa_ZWvsjI/AAAAAAABPZs/ueOw-9Hqi94/s640/2919C5CB00000578-3098633-image-a-112_1432708514643.jpg)
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZ:WATU NANE WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA MWL.NYERERE WAKIINGIA NCHINI KWA PASPOTI BANDIA ZA MATAIFA TOFAUTI YA ULAYA
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Washukiwa wa bomu bandia ndege ya Air France wakamatwa Ufaransa
Watuthumiwa hao (kushoto) baada ya kukamatwa.
MAOFISA wa Polisi nchini Ufaransa wamewatia mbaroni abiria wawili wa ndege hiyo ambao ni mke na mme liokuwa abiria katika ndege ya Air France Boeing 777 nambari AF463 iliyolazimika kutua kwa dharura nchini Kenya hapo jana kufuatia tishio la bomu.
Duru zinasema kuwa wawili hao ambao majina yao bado hayawekwa hadharani walikamatwa punde baada ya kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Charles de Gaulle nchini Ufaransa.
Waliokamatwa ni ofisa mmoja...
10 years ago
VijimamboWATATU WAKAMATWA NA DOLA FEKI ZENYE THAMANI YA MILIONI 20
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Fresser Kashai akiwaonyesha waandishi wa habari mkoani hapa Dola Feki za kimarekani. Picha na Elizabeth Kilindi, Tanga.
WATU watatu wanaojishughulisha na biashara ya uuzaji wa noti bandia mkoani Tanga wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa wakiwa na dola za kimarekani zenye thamani ya 11200 ambazo ni sawa na shilingi milioni 20 za Kitanzania.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Fresser Kashai aliwaambia waandishi wahabari...
11 years ago
Habarileo04 Mar
Matatani kwa kukutwa na noti 13 bandia
POLISI mkoani Mbeya inawashikilia watu sita kwa tuhuma tofauti, ikiwemo kukutwa na mali ya wizi pamoja na noti bandia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, alisema Ahmed Msangi alisema watu hao walikamatwa katika maeneo mawili tofauti jijini hapa.
11 years ago
Habarileo09 Feb
Polisi washikilia vijana wawili kwa noti bandia
POLISI mkoani hapa inawashikilia vijana wawili kwa tuhuma za kukutwa na noti bandia zenye thamani ya Sh 285,000.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupuhPa71tuVNya887bPXjYxXLzAiqzkpwaOLV0BPzoEH044PpxHYbOBulsAwSX0TijGKlgIsZFpQxYKTmkmEhi9/1d.jpg?width=650)
MICROSOFT WAINUNUA MOJANG KWA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 2.5