MICROSOFT WAINUNUA MOJANG KWA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 2.5
![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupuhPa71tuVNya887bPXjYxXLzAiqzkpwaOLV0BPzoEH044PpxHYbOBulsAwSX0TijGKlgIsZFpQxYKTmkmEhi9/1d.jpg?width=650)
KAMPUNI ya Microsoft imeinunua Mojang, kampuni ya Sweden inayomiliki michezo maarufu ya komputa ya Minecraft kwa dola za Kimarekani bilioni 2.5. Ununuzi huo umetangazwa na Mkurugenzi wa Xbox, Phil Spencer. Baadhi ya wachambuzi wamesema ununuzi huo umefanyika ili kuvutia watumiaji wengi kutumia simu za mfumo wa Microsoft wa Windows. Dili hilo limekamilika ikiwa ni mwaka mmoja tangu Microsoft kuinunua kampuni ya simu ya Nokia. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-lx00DdH3xxw/VKp1P89lIzI/AAAAAAAG7YQ/p56fEYTa1lU/s1600/CSC_0375.jpg)
TPDC YATUMIA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 1.225 KWA AJILI YA MRADI WA BOMBA LA GESI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3VBFmmSqIbU/VDr2r_pvjVI/AAAAAAAGpoU/kazx_JHtPiw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
10 years ago
VijimamboBENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
9 years ago
StarTV17 Dec
Taifa lapata dola za kimarekani mil. 500 kwa mwaka kilimo cha Mbogamboga, Matunda, Maua
Sekta ya kilimo cha mbogamboga matunda na maua nchini kimekuwa na mchango mkubwa katika ukuzaji maendeleo kwa kuliingizia taifa kiasi cha dola za kimarekani milioni mia tano kwa mwaka.
Ukuaji wa sekta hiyo umekuwa ni chachu ya kuvutia wawekezaji katika sekta nyingine za maendeleo hapa nchini.
Katika uzinduzi wa jarida litakalohusika kusambaza habari zihusuzo kilimo cha mbogamboga, maua na matunda uzinduzi uliofanyika jijini Arusha kwa kuwakutanisha wadau wa kilimo kutoka ndani na nje ya...
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s72-c/untitled.png)
Floyd Mayweather ametangaza Rasmi Mpambano mkubwa wa dola za kimarekani milioni 250 dhidi ya Manny Pacquiao kwa kuonyesha mkataba uliosainiwa.
Pambano la pesa nyingi katika historia liko mbioni, Mayweather ameonyesha kopi ya mkataba uliosainiwa pamoja na Manny Pacquiao katika mitandao ya kijamii. Mpambano huo uliokuwa katika matayarisho kwa muda wa miaka mitano utafanyika MGM Grand Las Vegas.
![](http://1.bp.blogspot.com/-wlt936NZfQU/VOg7v5vHJQI/AAAAAAAAA8w/9abWO6HDzWg/s1600/untitled.png)
Utakuwa ni mpambano ghali zaidi kutokea katika historia za ngumi zakulipwa, utagharimu jumla ya Dola za Kimarekani 250. Katika pesa hizo inaeleweka kuwa Mayweather anauhakika wa kuchukuwa Dola milioni 150 wakati Manny...
10 years ago
Vijimambo11 Jun
MV Mapinduzi 2 kugharimu Dola za Kimarekani USD 30,825,000
![](http://www.zenjfmradio.com/wp-content/uploads/2014/12/Untitled.png)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kutengeneza Meli mpya ya Abiria MV Mapinduzi 11 pamoja na mizigo Nchini Korea ili kuwapatia usafiri wa uhakika wa Baharini kwa Wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba.
Hayo yameeleza leo na Naibu wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi huko Baraza la Wawakilishi linaloendelea Chukwani Nje kidogo wa Mji wa Zanzibar wakati akijibu suala la Muwakilishi Salim Abdallah Hamadi wa Jimbo la Mtabwe aliyetaka kujua Meli...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WE9VpTxASDk/Uviz-01V94I/AAAAAAAFMHI/wgu3slGDJfY/s72-c/140115194836-panama-airport-money-story-top.jpg)
dola za kimarekani milioni 7.2 zadakwa uwanja wa ndege wa panama, honduras
![](http://2.bp.blogspot.com/-WE9VpTxASDk/Uviz-01V94I/AAAAAAAFMHI/wgu3slGDJfY/s1600/140115194836-panama-airport-money-story-top.jpg)
10 years ago
MichuziSAFARI ZA RAIS KIKWETE ZAOKOA ZAIDI YA DOLA LAKI MOJA ZA KIMAREKANI