SAFARI ZA RAIS KIKWETE ZAOKOA ZAIDI YA DOLA LAKI MOJA ZA KIMAREKANI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa,ajali na upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dokta Othman Kiloloma (kushoto) akizungumza na wandishi wa Habari (pichani hawapo) baada ya hitimisho la Mkutano wa nne wa mafunzo ya Upasuaji wa Ubongo , uti wa mgongo na mishipa ya fahamu, Mkutano huo ulifunguliwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif Rashid, uliomalizika hivi karibuni. ambapo wakishirikiana na Wataalamu madaktari bingwa wa Chuo cha Weill Cornell toka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLOFISI YA BUNGE YAKABIDHIWA NA SERIKALI YA CHINA MSAADA WA VIFAA VYA TEHEMA VYENYE TAHAMNI YA DOLA ZA KIMAREKANI LAKI MOJA
11 years ago
Michuzi17 May
OFISI ndogo ya Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania leo imetialiana saini na Chama cha kupunguza Matumizi ya Silaha na Maridhiano cha Jamhuri ya Watu wa China (Chinese Peoples’ Association for Peace and Disarmament) wenye thamani ya dola laki moja z


11 years ago
GPL
MICROSOFT WAINUNUA MOJANG KWA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 2.5
10 years ago
Vijimambo11 Jun
MV Mapinduzi 2 kugharimu Dola za Kimarekani USD 30,825,000

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kutengeneza Meli mpya ya Abiria MV Mapinduzi 11 pamoja na mizigo Nchini Korea ili kuwapatia usafiri wa uhakika wa Baharini kwa Wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba.
Hayo yameeleza leo na Naibu wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi huko Baraza la Wawakilishi linaloendelea Chukwani Nje kidogo wa Mji wa Zanzibar wakati akijibu suala la Muwakilishi Salim Abdallah Hamadi wa Jimbo la Mtabwe aliyetaka kujua Meli...
11 years ago
Michuzi
dola za kimarekani milioni 7.2 zadakwa uwanja wa ndege wa panama, honduras

11 years ago
BBCSwahili07 May
Nigeria:Polisi waahidi dola laki 3
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Mhamiaji ashinda dola laki 4 Uhispania
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Rais masikini zaidi apewa dola milioni 1