Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saba wakamatwa kwa kulea watoto Moshi

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa vituo vitatu vilivyogundulika kuhifadhi watoto 147 kwa siri Katika Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alitoa taarifa hiyo jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema kwamba, watu hao wanashikiliwa kwa kosa la kulea watoto katika mazingira hatarishi na kusababisha wengine wasiendelee na masomo kinyume cha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA

Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam akionesha noti bandia zilizokamatwaJeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za dola ya Kimarekani huko maeneo ya Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni, jijini Dar es Salaam. 
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

Saba wakamatwa kwa tuhuma za ujambazi Z’bar

Jumla ya watu saba wamekamatwa na Polisi mjini hapa kwa tuhuma za ujambazi, akiwamo anayedaiwa kuwa Ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa anayefanyia kazi Dar es Salaam baada ya kuzidiwa nguvu na wananchi.

 

10 years ago

Michuzi

JWTZ lasherehekea Miaka 50 kwa kuvisaidia vituo vya kulea watoto yatima

Mkurugenzi wa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania Brigedia Jenerali Sarah Wambali akisoma risala ya kumkamribisha Mgeni rasmi katika hafla ya kusherekea miaka 50 ya Jeshi hilo leo jijini Dar es Salaam, ambapo wanatarajia kutoa misaada ya vyakula na vifaaa mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Mkurugenzi wa Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleao ya Jamii ,Jinsia na Watoto Meshack Ndasikoi ambaye ni mgeni rasmi katika hafla ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND

Maafisa saba wa juu wa shirikisho la soka duniani, FIFA wamekamatwa kwa shutuma za kupokea rushwa. Maafisa hao walikamatwa kwenye hoteli ya Baur au Lac ya jijini Zurich, Jumatano hii. Polisi wa Uswisi wamekamata maafisa hao wakiwemo makamu wa rais wawili baada ya kuivamia kwa kushtukiza hoteli hiyo. Makamu wa rais wa FIFA, Jeffrey Webb anaaminika kuwa mmoja wa maafisa waliokamatwa alfajiri ya leo wakiwa kwenye hoteli ya kifahari nchini Uswisi
 Eduardo Li, kutoka Costa Rica naye pia alikamatwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda ashiriki hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha kulea watoto yatima cha Buhangija

PG4A3915

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burudani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini  Dar es salaam, Desemba 12, 2014.  Chakula hicho  kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha  kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani Shinyanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A4218

 Baadhi ya  washiriki wa maonyesho ya mavazi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume 3 wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Iran -Tehran, Brigadia Jenera Hossein Rahimi, amesema kuwa mmoja wa watoto hao wachanga alikuwa ni wa siku 20.Mwingine alikua na umri wa mwezi mmoja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkibeba mimba mjue kulea watoto

KATIKA makala zangu za huko nyuma kupitia kona hii, niliwahi kuandika kuhusu baadhi ya akinadada ambao licha ya kutambua wazi kuwa sio vigori tena kwa maana wamekwishazaa, lakini bado wanataka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume watatu wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mmoja wa watoto hao wao akiwa na umri wa siku 20, walidai wa kuuzwa kwa kati ya $2,000 na $2,500.

 

10 years ago

Habarileo

Kituo cha kulea watoto chakatiwa maji

KITUO cha Kulea Watoto Wenye Ulemavu cha Buhanghija Jumuishi katika Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, kimekatiwa maji na Mamlaka ya Majisafi na Mazingira (Shuwasa) baada ya kudaiwa Sh milioni 8 za matumizi ya maji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani