Pinda ashiriki hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha kulea watoto yatima cha Buhangija
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burudani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini Dar es salaam, Desemba 12, 2014. Chakula hicho kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani Shinyanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya washiriki wa maonyesho ya mavazi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jul
Raia 32 kati ya 37 wa Afrika Kusini wafika kilele cha Uhuru kuchangisha fedha kwa ajili ya watoto yatima washuka salama
![](http://4.bp.blogspot.com/-c4mQ97aGLkA/Va3YKhnBbtI/AAAAAAAASgA/ALOvIYbAyWM/s640/E86A6625%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Lb346_38XAY/Va3YQ8X99MI/AAAAAAAASgQ/qU2YxpPKpzw/s640/E86A6629%2B%25281280x720%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-75h6vNGWilE/Va3YRrztv1I/AAAAAAAASgc/Ysfv-U2wN6E/s640/E86A6630%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_pAKbc5AtJc/Va3Xrrw8vFI/AAAAAAAASeY/4FipmXcrILQ/s72-c/E86A6533%2B%25281280x853%2529.jpg)
RAIA WA AFRIKA KUSINI WALIOPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA WATOTO YATIMA WASHUKA,32 KATI YA 37 WAFIKA KILELE CHA UHURU
![](http://2.bp.blogspot.com/-_pAKbc5AtJc/Va3Xrrw8vFI/AAAAAAAASeY/4FipmXcrILQ/s640/E86A6533%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-O1ISCkBa118/Va3YrVKkEsI/AAAAAAAAShg/-jMBbxTy3Ow/s640/E86A6692%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9w7_veiwB38/Va3YcPgDhVI/AAAAAAAASgw/aYZU_FFuUpk/s640/E86A6648%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
MichuziJokate atoa misaada kituo cha kulea Yatima cha Extreme kilichopo Tandale kwa Bi Mtumwa, Dar es salaam
10 years ago
GPLJOKATE ATOA MISAADA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA EXTREME KILICHOPO TANDALE KWA BI MTUMWA, DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziTCAA WATOA MSAADA WA VITU MBALIMBALI KWA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA HNEW HOPE FAMILY KILICHOPO MWASONGA KIGAMBONI JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt. Bilal ashiriki hafla ya chakula cha jioni cha hisani kuchangia mfuko wa kampeni wa jitolee kwa ajili ya kinamama wa Afrika, Jijini Dar
Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula...
10 years ago
CloudsFM29 Dec
JOKATE ATOA MISAADA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA EXTREME
Miss Tanzania namba mbili 2006, mwanamitindo na mcheza filamu, Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne, alipotembelea kuwapa zawadi ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya. Zawadi alizotoa ni mchele, unga wa sembe, sabuni na ndala zenye nembo za Kidoti.
Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne.
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Kituo cha kulea tembo yatima kina tija kwa Taifa?
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lU-1SyXaH_c/VDe1Y0KFftI/AAAAAAADJPk/tvBZvbqdfL0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI CHA HISANI KUCHANGIA MFUKO WA KAMPENI WA JITOLEE KWA AJILI YA KINAMAMA WA AFRIKA, JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-lU-1SyXaH_c/VDe1Y0KFftI/AAAAAAADJPk/tvBZvbqdfL0/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CcL3X1rcI-A/VDe1n9ur4AI/AAAAAAADJQM/dCTsGfv2gt8/s1600/1.jpg)