Platini kuwania uongozi wa FIFA
Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini anatarajiwa kutangaza azma yake ya kuwania urais wa FIFA baadaye wiki hii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Michel Platini kuwania urais wa FIFA
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/141BD/production/_84556328_platini.jpg)
Platini 'would not change Fifa'
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Platini apigwe marufuku ya maisha :FIFA
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Blatter ampa Platini urais Fifa
RAIS wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter, amesema anaamini Michel Platini ana nafasi kubwa ya kuwa rais wa shirikisho hilo.
Blatter mwenye umri wa miaka 79, alitangaza kujiuzulu wadhifa wake ikiwa ni siku nne tu mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa awamu ya tano, sababu za kutangaza kujiuzulu ni kutokana na kashfa ya rushwa.
Platini kwa sasa yupo kati ya watu watano ambao wanawania nafasi hiyo ya urais, ambapo uchaguzi utafanyika Februari 26 mwakani.
Hata hivyo, Platini na...
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
FIFA :Platini asema hatampinga Blatter
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/1DAC/production/_84969570_plat.jpg)
Fifa to probe Platini dossier leak
10 years ago
BBCSwahili28 May
FIFA:Blatter amekataa kujiuzulu asema Platini
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
FIFA: Blatter na Platini nje kwa mika 8