Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yakata rufaa ya marufuku ya CAF

Kenya imekata rufaa ya marufuku ya mwaka 1ya kocha Adel Amrouche na shirikisho la soka barani Afrika CAF.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yakata rufaa

Chelsea wakata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyopata mlinda mlango Thibaut Courtois katika mchezo uliopigwa dhidi ya Swansea.

 

9 years ago

Mtanzania

Jamhuri yakata rufaa kesi ya Wakili Mwalle

MahakamaaaNA JANETH MUSHI, ARUSHA

MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya utakatishaji fedha haramu inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, wamewasilisha kusudio la kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania dhidi ya uamuzi wa Jaji Gadi Mjemas wa kukataa kuvipokea baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani.

Vielelezo hivyo viliwasilishwa mahakamni hapo na shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga wiki iliyopita.

Uamuzi huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Jaji Mjemas...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yakata rufaa kesi ya wakili Mwale

 MAWAKILI wa serikali wamekata rufaa Mahakama ya Rufaa baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya wakili maarufu Median Mwale na wenzake watatu, kukataa baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani ikiwamo hati saba za viapo.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yakata keki miaka hamsini!

Kenya imefikisha miaka hamsini tangu kujitatawala lakini changamoto bado ni nyingi kwani ndoto ya kufikia mengi haijatimia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Morocco yapigwa marufuku na CAF

Morocco imepigwa marufuku kushiriki katika michuano miwili ya kombe la Afrika baada ya kushindwa kuandaa michuano ya mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yaondoa marufuku ya Gambia

CAF imeondoa marufuku ya shirikisho la soka la Gambia baada ya GFF kufanya uchaguzi mwishoni mwa juma.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yaondoa marufuku ya umri

Shirikisho la Soka barani Afrika CAF limefutilia mbali marufuku ya umri wa wagombea viti vya uenyekiti katika uchaguzi wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Platini apoteza rufaa ya kupinga marufuku

Rais wa Shirikisho la Soka Ulaya Uefa Michel Platini ameshindwa katika rufaa yake ya kutaka marufuku ya siku 90 dhidi yake iondolewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani