Kenya yakata keki miaka hamsini!
Kenya imefikisha miaka hamsini tangu kujitatawala lakini changamoto bado ni nyingi kwani ndoto ya kufikia mengi haijatimia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s72-c/PIX%2B1%2B(1).jpg)
Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s1600/PIX%2B1%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MB_FaimexKE/VBWN8hPwR-I/AAAAAAAGjio/sDqgzccOH7k/s1600/PIX%2B3%2B(1).jpg)
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Kenya yakata rufaa ya marufuku ya CAF
Kenya imekata rufaa ya marufuku ya mwaka 1ya kocha Adel Amrouche na shirikisho la soka barani Afrika CAF.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uXC_Rup3pAU/Uz6clDoflmI/AAAAAAAFYZI/_HSS1rDR5wo/s72-c/IMG_9309.jpg)
RAIS SHEIN ATEBELEA MNARA WA MIAKA HAMSINI MICHENZAI PIA KIWANJA KARIAKOO UNGUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uXC_Rup3pAU/Uz6clDoflmI/AAAAAAAFYZI/_HSS1rDR5wo/s1600/IMG_9309.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN6Z9THaIE8/Uz6cmXJlvsI/AAAAAAAFYZQ/ZcPqFDrjsSc/s1600/IMG_9313.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s1600/New+Picture.png)
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Watu hamsini wauawa Kandahar
Vikosi vya serikali ya Afghanstan vimesema watu 50 wameuawa katika mapigano baina yake na waoiganaji katika kundi la mwisho la Taleban lililoshambulia uwanja wa ndege wa Kandahar
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Tuliyoambiwa hatukuyafanyia kazi, tumeendelea na hamsini zetu
Mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alipozungumzia nyufa zinazotishia kupasua jengo la Taifa hili, kwa takriban miaka mitano iliyofuata mazungumzo katika duru za kijamii na kisiasa yalikuwa nyufa, nyufa, nyufa…
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Chelsea yakata rufaa
Chelsea wakata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyopata mlinda mlango Thibaut Courtois katika mchezo uliopigwa dhidi ya Swansea.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Mvua yakata mawasiliano ya barabara
>Mamia ya abiria wakiwamo watalii waliokuwa wakisafiri kutoka mkoani Arusha kwenda Ngorongoro na Serengeti mkoani Manyara, wameshindwa kukamilisha safari zao baada ya Daraja la Kirurumo lililoko katika Mto wa Mbu wilayani Monduli kukatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Interpol yakata ushirikiano na FIFA
Shirika la polisi wa kimataifa Interpol limesema linasimamisha uhusiano wake na FIFA uliokuwa na lengo la kuchunguza na kukabiliana na visa vya upangwaji wa matokeo ya mechi za kandanda, kutokana na kashfa ya rushwa inayolizonga shirikisho hilo la soka
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania