Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yakata keki miaka hamsini!

Kenya imefikisha miaka hamsini tangu kujitatawala lakini changamoto bado ni nyingi kwani ndoto ya kufikia mengi haijatimia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Margareth Sitta akifungua semina ya Wanawake iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na harakati za uchaguzi iliyofanyika leo 13 Septemba, 2014 mjini Dodoma. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana akiwahutubia baadhi ya wanawake na wanaume waliohudhuria semina maalum iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yakata rufaa ya marufuku ya CAF

Kenya imekata rufaa ya marufuku ya mwaka 1ya kocha Adel Amrouche na shirikisho la soka barani Afrika CAF.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS SHEIN ATEBELEA MNARA WA MIAKA HAMSINI MICHENZAI PIA KIWANJA KARIAKOO UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,atembelea maendeleo ya Ujenzi wa Mnara wa Kumbu kumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar unaojengwa katika viwanja wa Kisonge Michenzani Mjini Unguja. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi ya Maji,Makaazi na Nishati Nd,Ali Halil Mirza,(wa pili kushoto) wakati alipotembelea maendeleo ya Ujenzi wa Mnara wa Kumbu...

 

11 years ago

Michuzi

sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani

KARIBUNI WOTE
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani. 
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu hamsini wauawa Kandahar

Vikosi vya serikali ya Afghanstan vimesema watu 50 wameuawa katika mapigano baina yake na waoiganaji katika kundi la mwisho la Taleban lililoshambulia uwanja wa ndege wa Kandahar

 

9 years ago

Mwananchi

Tuliyoambiwa hatukuyafanyia kazi, tumeendelea na hamsini zetu

Mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alipozungumzia nyufa zinazotishia kupasua jengo la Taifa hili, kwa takriban miaka mitano iliyofuata mazungumzo katika duru za kijamii na kisiasa yalikuwa nyufa, nyufa, nyufa…

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yakata rufaa

Chelsea wakata rufaa dhidi ya kadi nyekundu aliyopata mlinda mlango Thibaut Courtois katika mchezo uliopigwa dhidi ya Swansea.

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yakata mawasiliano ya barabara

>Mamia ya abiria wakiwamo watalii waliokuwa wakisafiri kutoka mkoani Arusha kwenda Ngorongoro na Serengeti mkoani Manyara, wameshindwa kukamilisha safari zao baada ya Daraja la Kirurumo lililoko katika Mto wa Mbu wilayani Monduli kukatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Interpol yakata ushirikiano na FIFA

Shirika la polisi wa kimataifa Interpol limesema linasimamisha uhusiano wake na FIFA uliokuwa na lengo la kuchunguza na kukabiliana na visa vya upangwaji wa matokeo ya mechi za kandanda, kutokana na kashfa ya rushwa inayolizonga shirikisho hilo la soka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani