Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-h9Lxnl9ahhY/VBWN8iibpRI/AAAAAAAGjis/E4gIHa_BqIk/s72-c/PIX%2B1%2B(1).jpg)
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Margareth Sitta akifungua semina ya Wanawake iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na harakati za uchaguzi iliyofanyika leo 13 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana akiwahutubia baadhi ya wanawake na wanaume waliohudhuria semina maalum iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Wanawake wataka hamisini kwa hamsini Katiba Mpya ijayo
Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana akiwahutubia baadhi ya wanawake na wanaume waliohudhuria semina maalum iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na harakati za uchaguzi iliyofanyika jana 13 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
Katika juhudi za kuleta usawa wa kijinsia na kuinua hadhi ya wanawake, Serikali imefanya jitihada kubwa katika masuala ya kiuchumi, kisiasa na kijamii...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EOHkW_13kk/Uy3ZA6HM2XI/AAAAAAAFVsA/25uSffzyo6A/s72-c/unnamed+(55).jpg)
TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Watu hamsini wauawa Kandahar
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Kenya yakata keki miaka hamsini!
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s1600/New+Picture.png)
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Tuliyoambiwa hatukuyafanyia kazi, tumeendelea na hamsini zetu
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-G4dyL5chIBs/VgM-Jd8VgZI/AAAAAAAD82o/s9YbHBTFmSE/s72-c/9c30e65a94a0148de459c0a9022e7172.jpg)
USO KWA USO NA SENTI HAMSINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-G4dyL5chIBs/VgM-Jd8VgZI/AAAAAAAD82o/s9YbHBTFmSE/s640/9c30e65a94a0148de459c0a9022e7172.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uXC_Rup3pAU/Uz6clDoflmI/AAAAAAAFYZI/_HSS1rDR5wo/s72-c/IMG_9309.jpg)
RAIS SHEIN ATEBELEA MNARA WA MIAKA HAMSINI MICHENZAI PIA KIWANJA KARIAKOO UNGUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uXC_Rup3pAU/Uz6clDoflmI/AAAAAAAFYZI/_HSS1rDR5wo/s1600/IMG_9309.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uN6Z9THaIE8/Uz6cmXJlvsI/AAAAAAAFYZQ/ZcPqFDrjsSc/s1600/IMG_9313.jpg)