Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu hamsini wauawa Kandahar

Vikosi vya serikali ya Afghanstan vimesema watu 50 wameuawa katika mapigano baina yake na waoiganaji katika kundi la mwisho la Taleban lililoshambulia uwanja wa ndege wa Kandahar

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wabunge wanawake wasisitiza ajenda ya hamsini kwa hamsini kutokakwepeka katika Katiba Mpya ijayo

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Margareth Sitta akifungua semina ya Wanawake iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na harakati za uchaguzi iliyofanyika leo 13 Septemba, 2014 mjini Dodoma. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana akiwahutubia baadhi ya wanawake na wanaume waliohudhuria semina maalum iliyohusu kuwawezesha wanawake katika masuala ya uongozi, utatuzi wa migogoro pamoja na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa Somalia

Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 9 wauawa Burundi

Watu tisa wameuawa usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura

 

11 years ago

GPL

WATU 28 WAUAWA CHINA

Baadhi ya majeruhi katika shambulio hilo wakiwa hospitali. Miili ya watu waliouawa katika shambulio hilo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 50 wauawa Pakistan

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa Mandera

Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanajeshi kufyatulia risasi gari moja mjini Mandera katika hali isiyoeleweka, ripoti zinasema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Karibu watu 60 wauawa Nigeria

Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa karibu watu 60 huenda waliuawa katika kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa nchi

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 40 wauawa Mexico

Takriban watu 43 wameuawa wakati wa ufyatulianaji wa risasi katika jmbo la Michoacan nchini mexico.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani