Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 50 wauawa Pakistan

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Abiria 43 wauawa Pakistan

Watu waliokuwa kwenye pikipiki wawapiga risasi abiria 43 waliokuwa njiani kwenda kuabudu huko Pakistan

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahudumu wa afya wauawa Pakistan

Watu waliojihami katika mji wa Karachi nchini Pakistan, wamewaua kwa kuwapiga risasi wahudumu 3 wa afya wakiwemo wanawake 2 waliokuwa wanatoa chanjo ya Polio.

 

10 years ago

GPL

43 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI PAKISTAN

WATU zaidi ya 43 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha walioshambulia basi huko Karachi, Pakistan. Basi lililoshambuliwa na watu hao lilikuwa limewabeba waumini wa dhehebu la Shia. Polisi wa Karachi wameeleza kuwa washambuliaji wapatao sita wakiwa katika pikipiki walilishambulia basi katika eneo la Safoora Goth kwa risasi na kuua watu hao 43. ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanne wauawa Pakistan kuhusiana na mauaji Peshawar

Pakistan imewanyonga watu wanne waliohusishwa na shambulio katika shule ya jeshi eneo la Peshawar lililoua watu zaidi ya 150.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 12 wamenyongwa Pakistan

Pakistan imewanyonga watu 12 kutoka magereza tofauti kote nchini saa chache tu tangu amri ya kurejesha hukumu ya kifo kuidhinishwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Joto kali lawaua watu 800 Pakistan

Takriban watu 800 wamefariki nchini Pakistan kutokana na joto kali.Tayari maeneo ya kuhifadhi wafu yamejaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Joto kali lawaua watu 700 Pakistan

Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu waliofariki kutokana na joto katika mkoa wa kusini wa Sindh ikifikia 700.

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaua watu 250 India, Pakistan

Watu zaidi ya 250 wamefariki dunia nchini India, Pakistan na China baada ya kusombwa na maji yaliosababishwa na mvua kubwa katika nchi hizo.

 

5 years ago

CCM Blog

NDEGE YAANGUKA KATIKA MENEO LA MAKAZI YA WATU PAKISTAN

Rescue workers gather at the site after a Pakistan International Airlines flight crashed in a residential neighbourhoodHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionNdege ilianguka katika eneo la makazi karibu na Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jinnah katika mji wa Karachi ional Airport in the city of KarachiNdege ya Shirika la kimataifa la ndege la Pakistani -Pakistan International imeanguka katika mji wa Karachi lipokua ikitoka Lahore, maafisa wa safari za anga wamesema.Ndege hiyo Chapa PK8303, ambayo ilikua imewabeba abiria 91 na wahudumu wa ndege wanane, ilikua ikisafiri kutoka Lahore kuelekea katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani