Watu 50 wauawa Pakistan
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 May
Abiria 43 wauawa Pakistan
Watu waliokuwa kwenye pikipiki wawapiga risasi abiria 43 waliokuwa njiani kwenda kuabudu huko Pakistan
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Wahudumu wa afya wauawa Pakistan
Watu waliojihami katika mji wa Karachi nchini Pakistan, wamewaua kwa kuwapiga risasi wahudumu 3 wa afya wakiwemo wanawake 2 waliokuwa wanatoa chanjo ya Polio.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5rOKh5yrOt1NYxgYDMB46-X80090lf7SNEPD6lsMcQ6zGU-EAgKzVDh-KjmzXfPvdbsqNXWRThSINWaRKrQzrvL5vP*NCNO2/KARACHI.jpg?width=650)
43 WAUAWA KATIKA SHAMBULIO NCHINI PAKISTAN
WATU zaidi ya 43 wamepoteza maisha huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha walioshambulia basi huko Karachi, Pakistan. Basi lililoshambuliwa na watu hao lilikuwa limewabeba waumini wa dhehebu la Shia. Polisi wa Karachi wameeleza kuwa washambuliaji wapatao sita wakiwa katika pikipiki walilishambulia basi katika eneo la Safoora Goth kwa risasi na kuua watu hao 43. ...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Wanne wauawa Pakistan kuhusiana na mauaji Peshawar
Pakistan imewanyonga watu wanne waliohusishwa na shambulio katika shule ya jeshi eneo la Peshawar lililoua watu zaidi ya 150.
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Watu 12 wamenyongwa Pakistan
Pakistan imewanyonga watu 12 kutoka magereza tofauti kote nchini saa chache tu tangu amri ya kurejesha hukumu ya kifo kuidhinishwa
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Joto kali lawaua watu 800 Pakistan
Takriban watu 800 wamefariki nchini Pakistan kutokana na joto kali.Tayari maeneo ya kuhifadhi wafu yamejaa.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Joto kali lawaua watu 700 Pakistan
Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu waliofariki kutokana na joto katika mkoa wa kusini wa Sindh ikifikia 700.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Mafuriko yaua watu 250 India, Pakistan
Watu zaidi ya 250 wamefariki dunia nchini India, Pakistan na China baada ya kusombwa na maji yaliosababishwa na mvua kubwa katika nchi hizo.
5 years ago
CCM Blog22 May
NDEGE YAANGUKA KATIKA MENEO LA MAKAZI YA WATU PAKISTAN
![Rescue workers gather at the site after a Pakistan International Airlines flight crashed in a residential neighbourhood](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/A8E9/production/_112414234_061583193-1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania