Mafuriko yaua watu 250 India, Pakistan
Watu zaidi ya 250 wamefariki dunia nchini India, Pakistan na China baada ya kusombwa na maji yaliosababishwa na mvua kubwa katika nchi hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Mafuriko yaua nchini India
Watu kadhaa wamepoteza maisha kufuatia basi walilokuwa wakisafiria kuchukuliwa na maji nchini India.
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mafuriko yaua watu 15 DRC
Watu kumi na tano wamekufa katika kijiji cha Kimino huko Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFym3SpgI-Hc02gnWXT9BDBgpwr2CKPKX9zhNxmvSaoyGg3pACCVdYsQS8Ylz7tErEe8Hpr8UszpB0c*vbN5Py7k/malawi.jpg?width=650)
MAFURIKO YAUA WATU 170 MALAWI
Nyumba ikiwa imezingilwa na maji. TakribanI watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.Watu wengine 100,000 wamelazimika kuhama makwao. Mapema wiki hii rais Peter Mutharika alitangaza thuluthi moja ya nchi hiyo kuwa katika hali ya hatari na kuomba msaada wa kimataifa.Zaidi ya watu wengine 50,000 wamehama makwao katika nchi jirani ya Msumbuji kutokana na mafuriko hayo....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Rsyf-m0YKLCxhwosIvyEtT**4KwTEtisw0ISbUHEGK5d35-iK0ZBvhURHC0oOx3L3t5u0mGkQlkiVHcaPoF6EPf7Pt*3Qg4E/a.jpg)
AJALI YAUA ZAIDI YA 50 NCHINI PAKISTAN
Basi likiwa limeteketea baada ya ajali hiyo. Taswira kutoka ndani ya basi hilo la abiria. Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa Hospitali ya…
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
India yakubali mualiko wa Pakistan
Hii ni ziara ya kwanza ya waziri mkuu Narendra Modi nchini Pakistan baada ya kuingia madarakani mwaka jana
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Mahasimu India na Pakistan wakutana
Mkutano kati ya mataifa jirani na hasimu yaani India na Pakistan umefanyika baada ya kuahirishwa kwa zaidi ya miezi minne kufuatia kuzorota kwa uhusiano
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Mafuriko yaua 20 Dominica
Waziri mkuu nchini Dominica anasema kuwa watu 20 wanariporitiwa kuaga dunia kwenye mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Erika
11 years ago
Habarileo16 Apr
Mafuriko Dar yaua 41
MAFURIKO yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Mafuriko yaua Kyela
Watu watatu wamefariki dunia na wengine watatu hawajulikani walipo baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali wilayani Kyela mkoani Mbeya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania