Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafuriko yaua watu 250 India, Pakistan

Watu zaidi ya 250 wamefariki dunia nchini India, Pakistan na China baada ya kusombwa na maji yaliosababishwa na mvua kubwa katika nchi hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yaua nchini India

Watu kadhaa wamepoteza maisha kufuatia basi walilokuwa wakisafiria kuchukuliwa na maji nchini India.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yaua watu 15 DRC

Watu kumi na tano wamekufa katika kijiji cha Kimino huko Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo

 

10 years ago

GPL

MAFURIKO YAUA WATU 170 MALAWI

Nyumba ikiwa imezingilwa na maji. TakribanI watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.Watu wengine 100,000 wamelazimika kuhama makwao. Mapema wiki hii rais Peter Mutharika alitangaza thuluthi moja ya nchi hiyo kuwa katika hali ya hatari na kuomba msaada wa kimataifa.Zaidi ya watu wengine 50,000 wamehama makwao katika nchi jirani ya Msumbuji kutokana na mafuriko hayo....

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA ZAIDI YA 50 NCHINI PAKISTAN

Basi likiwa limeteketea baada ya ajali hiyo. Taswira kutoka ndani ya basi hilo la abiria. Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa Hospitali ya…

 

10 years ago

BBCSwahili

India yakubali mualiko wa Pakistan

Hii ni ziara ya kwanza ya waziri mkuu Narendra Modi nchini Pakistan baada ya kuingia madarakani mwaka jana

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahasimu India na Pakistan wakutana

Mkutano kati ya mataifa jirani na hasimu yaani India na Pakistan umefanyika baada ya kuahirishwa kwa zaidi ya miezi minne kufuatia kuzorota kwa uhusiano

 

9 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yaua 20 Dominica

Waziri mkuu nchini Dominica anasema kuwa watu 20 wanariporitiwa kuaga dunia kwenye mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Erika

 

11 years ago

Habarileo

Mafuriko Dar yaua 41

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck SadikiMAFURIKO yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.

 

11 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaua Kyela

Watu watatu wamefariki dunia na wengine watatu hawajulikani walipo baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali wilayani Kyela mkoani Mbeya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani