Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFURIKO YAUA WATU 170 MALAWI

Nyumba ikiwa imezingilwa na maji. TakribanI watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.Watu wengine 100,000 wamelazimika kuhama makwao. Mapema wiki hii rais Peter Mutharika alitangaza thuluthi moja ya nchi hiyo kuwa katika hali ya hatari na kuomba msaada wa kimataifa.Zaidi ya watu wengine 50,000 wamehama makwao katika nchi jirani ya Msumbuji kutokana na mafuriko hayo....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 170 Malawi

Takriban watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yaua watu 15 DRC

Watu kumi na tano wamekufa katika kijiji cha Kimino huko Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 200 Malawi

Utawala nchini Malawi unasema kuwa umewaokoa maelfu ya watu ambao walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaua watu 250 India, Pakistan

Watu zaidi ya 250 wamefariki dunia nchini India, Pakistan na China baada ya kusombwa na maji yaliosababishwa na mvua kubwa katika nchi hizo.

 

10 years ago

BBC

Flash floods kill 170 in Malawi

The authorities in Malawi say at least 170 people have been killed in flash floods over the past month, with many homes swept away.

 

9 years ago

BBCSwahili

Lori la mafuta lawauwa watu 170 Sudan K

Takriban watu 170 wameuawa baada ya lori la mafuta kulipuka Sudan Kusini kulingana na msemaji wa rais.

 

9 years ago

Bongo5

27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.

2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182

Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.

Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.

Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.

Kundi la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yaua 20 Dominica

Waziri mkuu nchini Dominica anasema kuwa watu 20 wanariporitiwa kuaga dunia kwenye mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Erika

 

11 years ago

Habarileo

Mafuriko Dar yaua 41

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck SadikiMAFURIKO yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani