Lori la mafuta lawauwa watu 170 Sudan K
Takriban watu 170 wameuawa baada ya lori la mafuta kulipuka Sudan Kusini kulingana na msemaji wa rais.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Lori la mafuta lawaua watu 70 Nigeria
Karibu watu 70 wamefariki huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LORI LA LAPINDUKA KIMARA WATU WANAJISEVIA MAFUTA KWA NDOO
LORI la mafuta ambalo namba za usajili hazijatambuliwa wala kampuni inayolimiki, limepinduka mchana huu maeneo ya Kimara-Stop Over jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa shuhuda wa ajali hiyo, kondakta ameokolewa isipokuwa dereva ambaye inasadikiwa amekufa bado mwili wake umekandamizwa na lori hilo, polisi kwa kushirikiana na wananchi wanafanya jitihada za kumtoa. Shuhuda huyo amesema vijana ‘wahuni’ wa maeneo hayo,...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s1600/se4.jpg)
LORI LA MAFUTA LADONDOKA MILIMA SEKENKE, LALIPUKA NA KUUA WATU WANNE
 Wananchi wakiangalia lori baada ya kuungua.  Mabaki ya lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii.…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s72-c/se4.jpg)
NEWS ALERT:LORI LA MAFUTA LADONDOKA MDA HUU MLIMA SEKENKE NA KULIPUKA NA KUUA WATU WANNE
![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s1600/se4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v8iklBtIuyw/UwTFM47l17I/AAAAAAAALCQ/tCnin6hlI8o/s1600/se5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nvdUPUJvoR4/UwTFR5TuhxI/AAAAAAAALCY/hsM-2RkD_Gc/s1600/se6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hV6Nmid49Xo/UwTFV56NNwI/AAAAAAAALCg/cjwIUbkr1qA/s1600/se7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jGNIvo0ZRPk/UwTFZyNiZHI/AAAAAAAALCo/AjCHCE4n9DA/s1600/se9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6-Q2ejkcSAk/UwTFA88IoBI/AAAAAAAALCA/ooxsCw0wHLY/s1600/se11.jpg)
10 years ago
GPLLORI LA MAFUTA LAANGUKA
Lori la mafuta likiwa limepinduka eneo la makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa, Dar. Kikosi cha Zima Moto kikiwa eneo la tukio.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFym3SpgI-Hc02gnWXT9BDBgpwr2CKPKX9zhNxmvSaoyGg3pACCVdYsQS8Ylz7tErEe8Hpr8UszpB0c*vbN5Py7k/malawi.jpg?width=650)
MAFURIKO YAUA WATU 170 MALAWI
Nyumba ikiwa imezingilwa na maji. TakribanI watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.Watu wengine 100,000 wamelazimika kuhama makwao. Mapema wiki hii rais Peter Mutharika alitangaza thuluthi moja ya nchi hiyo kuwa katika hali ya hatari na kuomba msaada wa kimataifa.Zaidi ya watu wengine 50,000 wamehama makwao katika nchi jirani ya Msumbuji kutokana na mafuriko hayo....
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Mafuriko yawaua watu 170 Malawi
Takriban watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LORI LA TANKI LA MAFUTA LAPINDUKA
Lori la tanki la mafuta lapinduka katika barabara ya Morogoro, jirani na Daraja la Ruvu na kufunga njia hivyo kusababisha foleni kubwa ya magari na adha kubwa kwa wasafiri. Ajali hiyo imetokea muda mfupi uliopita na njia haipitiki!
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania