LORI LA TANKI LA MAFUTA LAPINDUKA
Lori la tanki la mafuta lapinduka katika barabara ya Morogoro, jirani na Daraja la Ruvu na kufunga njia hivyo kusababisha foleni kubwa ya magari na adha kubwa kwa wasafiri. Ajali hiyo imetokea muda mfupi uliopita na njia haipitiki!
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLLORI LA LAPINDUKA KIMARA WATU WANAJISEVIA MAFUTA KWA NDOO
10 years ago
VijimamboLORI LAPINDUKA NA KUUA WANNE MBEYA
9 years ago
GPLTRELA LA LORI LAPINDUKA JIJINI DAR LEO
10 years ago
VijimamboTELA LA MAFUTA LAPINDUKA MATAA YA VETA JIONI HII
11 years ago
Dewji Blog06 May
Tanki mafuta lalipuka na kusababisha adha kubwa kwa wasafiri maeneo ya Shelui Singida
Baadhi ya wananchi wakipiga picha wakati tanki la mafuta la kampuni ya B. Clarke Haulege Construction, Tanki hilo ni mali ya Bw. Bundala Kapela wa Igunga ni namba T634 BCZ lenye vyumba vinne na uwezo wa kubeba lita 40.000 za mafuta ya Petroli lililipuka majira ya Saa 11:00 katika barabara kuu ya Dodoma Mwanza eneo la Shelui mkoani Singida wakati breki za tanki hilo upande wa kushoto zilipojam na kusababisha moto, Jambo lililomfanya dereva wa roli lenye namba za usajiri T 164 CGF aina ya...
10 years ago
GPLLORI LA MAFUTA LAANGUKA
10 years ago
GPLLORI LA MAFUTA LAUA 70 NIGERIA
10 years ago
GPLLORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA, DAR