Mafuriko yawaua watu 170 Malawi
Takriban watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFym3SpgI-Hc02gnWXT9BDBgpwr2CKPKX9zhNxmvSaoyGg3pACCVdYsQS8Ylz7tErEe8Hpr8UszpB0c*vbN5Py7k/malawi.jpg?width=650)
MAFURIKO YAUA WATU 170 MALAWI
Nyumba ikiwa imezingilwa na maji. TakribanI watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.Watu wengine 100,000 wamelazimika kuhama makwao. Mapema wiki hii rais Peter Mutharika alitangaza thuluthi moja ya nchi hiyo kuwa katika hali ya hatari na kuomba msaada wa kimataifa.Zaidi ya watu wengine 50,000 wamehama makwao katika nchi jirani ya Msumbuji kutokana na mafuriko hayo....
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Mafuriko yawaua watu 200 Malawi
Utawala nchini Malawi unasema kuwa umewaokoa maelfu ya watu ambao walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Mafuriko yawaua watu 38 Tanzania
Mafuriko mabaya kazkazini magharibi mwa Tanzania yamewaua takriban watu 38.
10 years ago
BBCSwahili09 May
Mafuriko yawaua watu 8 Tanzania
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Tanzania zimesababisha vifo vya watu wasiopungua wanane
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Mafuriko yawaua watu 14 Madagascar
Watu 14 wameuawa kwenye mafuriko nchini Madagascar ambapo pia wengine 20,000 wamelazimika kuhama makwao.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80321000/jpg/_80321328_80321321.jpg)
Flash floods kill 170 in Malawi
The authorities in Malawi say at least 170 people have been killed in flash floods over the past month, with many homes swept away.
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Milipuko yawaua watu 50 Nigeria
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu siku ya jumamosi kwenye mji wa Maiduguri
10 years ago
BBCSwahili19 May
Maparomoko yawaua watu 50 Colombia
Rais wa Colombia anasema kuwa utawala wa nchi hiyo haujui ni watu wangapi ambao hawajulikani waliko kufuatia maparomoko makubwa ya ardhi yaliowaua zaidi ya watu 50
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania