Mafuriko yawaua watu 200 Malawi
Utawala nchini Malawi unasema kuwa umewaokoa maelfu ya watu ambao walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Mafuriko yawaua watu 170 Malawi
Takriban watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Mafuriko yawaua watu 14 Madagascar
Watu 14 wameuawa kwenye mafuriko nchini Madagascar ambapo pia wengine 20,000 wamelazimika kuhama makwao.
10 years ago
BBCSwahili09 May
Mafuriko yawaua watu 8 Tanzania
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Tanzania zimesababisha vifo vya watu wasiopungua wanane
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Mafuriko yawaua watu 38 Tanzania
Mafuriko mabaya kazkazini magharibi mwa Tanzania yamewaua takriban watu 38.
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mafuriko Malawi, 200 wafariki
Serikali nchini Malawi imesema kuwa inaendelea kufanya jitihada za kuwaokoa maelfu ya watu ambao walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko makubwa yaliyotokea katika nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili07 Sep
Watu 200 wauawa na mafuriko huko Kashmir
Mafuriko yamewaua zaidi ya watu 200 nchini India na Pakistan .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFym3SpgI-Hc02gnWXT9BDBgpwr2CKPKX9zhNxmvSaoyGg3pACCVdYsQS8Ylz7tErEe8Hpr8UszpB0c*vbN5Py7k/malawi.jpg?width=650)
MAFURIKO YAUA WATU 170 MALAWI
Nyumba ikiwa imezingilwa na maji. TakribanI watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.Watu wengine 100,000 wamelazimika kuhama makwao. Mapema wiki hii rais Peter Mutharika alitangaza thuluthi moja ya nchi hiyo kuwa katika hali ya hatari na kuomba msaada wa kimataifa.Zaidi ya watu wengine 50,000 wamehama makwao katika nchi jirani ya Msumbuji kutokana na mafuriko hayo....
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Maparomoko yawaua watu 50 Colombia
Rais wa Colombia anasema kuwa utawala wa nchi hiyo haujui ni watu wangapi ambao hawajulikani waliko kufuatia maparomoko makubwa ya ardhi yaliowaua zaidi ya watu 50
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania