Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafuriko Malawi, 200 wafariki

Serikali nchini Malawi imesema kuwa inaendelea kufanya jitihada za kuwaokoa maelfu ya watu ambao walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko makubwa yaliyotokea katika nchi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 200 Malawi

Utawala nchini Malawi unasema kuwa umewaokoa maelfu ya watu ambao walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko

 

11 years ago

BBCSwahili

200 wafariki wakitoroka vita S.Kusini

Zaidi ya watu 200 raia wa Sudan Kusini wamezama katika ajali ya ferry kwenye mto Nile wakikimbia vita vinavyoendelea katika mji wa Malakal.

 

9 years ago

StarTV

Watu wawili wafariki dunia kwa mafuriko

Watu wawili wameripotiwa kupoteza maisha na wengine kupoteza mali zenye thamani jijini Mwanza kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua iliyonyesha majira ya saa kumi na mbili alfajiri ya leo.

Waliopoteza maisha ni pamoja na aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha nne aliyekuwa akiwahi shule kwa ajili ya kufanya mtihani wake wa mwisho na mmoja wa waendesha pikipiki aliyekuwa akiwawahisha wanafunzi wengine wa kidato cha nne kufanya mtihani wao wa mwisho.

Majira ya saa tatu asubuhi jijini Mwanza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 200 wauawa na mafuriko huko Kashmir

Mafuriko yamewaua zaidi ya watu 200 nchini India na Pakistan .

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Malawi floods displace 200,000

More than 170 people are killed and 200,000 displaced by torrential rain and flooding in Malawi.

 

10 years ago

GPL

MAFURIKO YAUA WATU 170 MALAWI

Nyumba ikiwa imezingilwa na maji. TakribanI watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.Watu wengine 100,000 wamelazimika kuhama makwao. Mapema wiki hii rais Peter Mutharika alitangaza thuluthi moja ya nchi hiyo kuwa katika hali ya hatari na kuomba msaada wa kimataifa.Zaidi ya watu wengine 50,000 wamehama makwao katika nchi jirani ya Msumbuji kutokana na mafuriko hayo....

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 170 Malawi

Takriban watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaikumba Mtwara, nyumba 200 zazingirwa na maji, RC atoa saa 24 yaondolewe

Zaidi ya nyumba 200 zimezingirwa na maji katika Manispaa ya Mtwara Mikindani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha hasara kubwa ambayo thamani yake bado  haijajulikana.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAIKABIDHI MALAWI MSAADA KWA AJILI YA WAHANGA WA MAFURIKO

Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Mhe. Patrick Luciano Tsere (kulia) akikabidhi Dawa za Binadamu na Mahindi kwa Bw. Paul Chiunguzeni, Katibu Mkuu na pia Kamishna anayeshughulikia masuala ya Maafa aktika Ofisi ya Makamu wa Rais wa Malawi ikiwa ni sehemu ya msaada wa Tani 1,200 za Mahindi na Dawa za Binadamu zilizotolewa na Serikali ya Tanzania kwa nchi hiyo kufuatia mafuriko makubwa yaliyoikumba nchi hiyo mwezi Januari 2015. manajdhdfdufdhuf Bw. Paul Chiunguzeni, Katibu Mkuu na pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani