Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maporomoko yawaua watu 15 Nepal

Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maporomoko ya ardhi yaua watu 32 Japan

Watu wapatao 32 wameuawa katika maporomoko ya ardhi katika mkoa wa Hiroshima magharibi mwa Japan.

 

11 years ago

GPL

IDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAPOROMOKO MAREKANI YAFIKIA 14

Waokoaji wakitafuta watu waliopotea katika maporomoko. MAOFISA wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea siku ya Jumamosi. Hii imefikisha idadi ya watu waliofariki kutokana na maporomoko hayo hadi 14. Watu 176 bado hawajapatikana baada ya ukuta wa matope wenye urefu wa futi 177 kuporomoka karibu na mji wa Oso, Kaskazini mwa Seattle. Zoezi la uokoaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Milipuko yawaua watu 50 Nigeria

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu siku ya jumamosi kwenye mji wa Maiduguri

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 8 Tanzania

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Tanzania zimesababisha vifo vya watu wasiopungua wanane

 

10 years ago

BBCSwahili

Maparomoko yawaua watu 50 Colombia

Rais wa Colombia anasema kuwa utawala wa nchi hiyo haujui ni watu wangapi ambao hawajulikani waliko kufuatia maparomoko makubwa ya ardhi yaliowaua zaidi ya watu 50

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 38 Tanzania

Mafuriko mabaya kazkazini magharibi mwa Tanzania yamewaua takriban watu 38.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 14 Madagascar

Watu 14 wameuawa kwenye mafuriko nchini Madagascar ambapo pia wengine 20,000 wamelazimika kuhama makwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 200 Malawi

Utawala nchini Malawi unasema kuwa umewaokoa maelfu ya watu ambao walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko

 

10 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yawaua watu 170 Malawi

Takriban watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani