Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Aug
Maporomoko ya ardhi yaua watu 32 Japan
Watu wapatao 32 wameuawa katika maporomoko ya ardhi katika mkoa wa Hiroshima magharibi mwa Japan.
11 years ago
GPL
IDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAPOROMOKO MAREKANI YAFIKIA 14
Waokoaji wakitafuta watu waliopotea katika maporomoko. MAOFISA wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea siku ya Jumamosi. Hii imefikisha idadi ya watu waliofariki kutokana na maporomoko hayo hadi 14. Watu 176 bado hawajapatikana baada ya ukuta wa matope wenye urefu wa futi 177 kuporomoka karibu na mji wa Oso, Kaskazini mwa Seattle. Zoezi la uokoaji...
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Milipuko yawaua watu 50 Nigeria
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu siku ya jumamosi kwenye mji wa Maiduguri
10 years ago
BBCSwahili09 May
Mafuriko yawaua watu 8 Tanzania
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Tanzania zimesababisha vifo vya watu wasiopungua wanane
10 years ago
BBCSwahili19 May
Maparomoko yawaua watu 50 Colombia
Rais wa Colombia anasema kuwa utawala wa nchi hiyo haujui ni watu wangapi ambao hawajulikani waliko kufuatia maparomoko makubwa ya ardhi yaliowaua zaidi ya watu 50
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Mafuriko yawaua watu 38 Tanzania
Mafuriko mabaya kazkazini magharibi mwa Tanzania yamewaua takriban watu 38.
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Mafuriko yawaua watu 14 Madagascar
Watu 14 wameuawa kwenye mafuriko nchini Madagascar ambapo pia wengine 20,000 wamelazimika kuhama makwao.
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Mafuriko yawaua watu 200 Malawi
Utawala nchini Malawi unasema kuwa umewaokoa maelfu ya watu ambao walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Mafuriko yawaua watu 170 Malawi
Takriban watu 170 wanaripotiwa kuaga dunia kwenye mafuriko ambayo yameikumba Malawi kwa karibu mwezi mmoja sasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania