Maporomoko ya ardhi yaua watu 32 Japan
Watu wapatao 32 wameuawa katika maporomoko ya ardhi katika mkoa wa Hiroshima magharibi mwa Japan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Maporomoko yaua familia mbili
WATU wanne wa familia mbili tofauti, wamepoteza maisha huku wengine wawili wakijeruhiwa katika eneo la Sinai-Mabatini, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza baada ya kuporomokewa na mawe kufuatia mvua kubwa iliyonyesha...
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Maporomoko ya udongo yaua Ulaya
Watu wanne wamekufa kufuatia maporomoko ya udongo nchini Italia na Uswisi
11 years ago
Michuzi15 Jul
AJALI YA MAPOROMOKO KILIMANJARO YAUA MMOJA
Leo majira ya saa kumi alfajiri kumetokea ajali ya maporomoko ya mawe katika eneo la juu la Mlima Kilimanjaro la Hans Meyer na kusababisha kifo kwa mwanafunzi Malata Thomas kutoka Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli .Aidha, mwanafunzi mwingine Matenga S.J alivunjika mguu wake na anaendelea na matibabu katika hospitali ya KCMC mjini Moshi. Wanajeshi hawa walikuwa pamoja na wenzao 265 walikuwa katika mafunzo yao ya kawaida ya ukakamavu katika Mlima Kilimanjaro.
Shirika la Hifadhi za Taifa...
Shirika la Hifadhi za Taifa...
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Maporomoko yawaua watu 15 Nepal
Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW5YH9QNW1wVAH8x4P8SbZP0vwd7v1qdElJ6Rq2HL5kjXftCySHzmrftAMaZ8bGG4EAA1zbnSR3C8K-DzVTTRyq-/maporomoko.jpg)
IDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAPOROMOKO MAREKANI YAFIKIA 14
Waokoaji wakitafuta watu waliopotea katika maporomoko. MAOFISA wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea siku ya Jumamosi. Hii imefikisha idadi ya watu waliofariki kutokana na maporomoko hayo hadi 14. Watu 176 bado hawajapatikana baada ya ukuta wa matope wenye urefu wa futi 177 kuporomoka karibu na mji wa Oso, Kaskazini mwa Seattle. Zoezi la uokoaji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*XFo3SHuGCTGoJbwkURY1wioHtFmBZRJJl0WgOqOhPWAKDInhWV12NX7KQ2VjmeqPgjBiq4ZXhg3o4rfSAe-Xv/Ivorycoast.jpg)
IVORY COAST YAUA, YAIBAMIZA JAPAN 2-1
Mshumbuliaji wa Ivory Coast, Gervinho (kushoto) akishangilia bao lake na Didier Drogba. Keisuke Honda akiifungia Japan bao lao dakika ya 16.…
10 years ago
BBCSwahili30 May
Tetemeko la ardhi latikisa Japan
Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa mji wa Tokyo Japan muda mchache uliopita
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Jivu la Volkano lawaua watu 30 Japan
Takriban wakwea milima 30 huenda wameaga dunia nchini Japan kufuatia kulipuka kwa mlima wa Volcano siku ya Jumamosi.
11 years ago
BBCSwahili30 Jul
Ajali yaua watu 17 Tanzania
Watu 17 wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea mkoa wa Dodoma katikati mwa Tanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania