Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maporomoko ya udongo yaua Ulaya

Watu wanne wamekufa kufuatia maporomoko ya udongo nchini Italia na Uswisi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maporomoko yaua familia mbili

WATU wanne wa familia mbili tofauti, wamepoteza maisha huku wengine wawili wakijeruhiwa katika eneo la Sinai-Mabatini, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza baada ya kuporomokewa na mawe kufuatia mvua kubwa iliyonyesha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maporomoko ya ardhi yaua watu 32 Japan

Watu wapatao 32 wameuawa katika maporomoko ya ardhi katika mkoa wa Hiroshima magharibi mwa Japan.

 

11 years ago

Michuzi

AJALI YA MAPOROMOKO KILIMANJARO YAUA MMOJA

Leo majira ya saa kumi alfajiri kumetokea ajali ya maporomoko ya mawe katika eneo la juu la Mlima Kilimanjaro la Hans Meyer na kusababisha kifo kwa mwanafunzi Malata Thomas kutoka Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli .Aidha, mwanafunzi mwingine Matenga S.J alivunjika mguu wake na anaendelea na matibabu katika hospitali ya KCMC mjini Moshi. Wanajeshi hawa walikuwa pamoja na wenzao 265 walikuwa katika mafunzo yao ya kawaida ya ukakamavu katika Mlima Kilimanjaro.
Shirika la Hifadhi za Taifa...

 

11 years ago

Habarileo

Maporomoko ya Mto Kalambo kuboreshwa

Maporomoko ya Mto KalamboENEO la utalii la maporomoko ya Mto Kalambo lililoko mkoani Rukwa, liko mbioni kuboreshwa baada ya michoro ya ujenzi wa miundombinu yake kukamilika.

 

9 years ago

BBCSwahili

85 watoweka baada ya maporomoko China

Zaidi ya wakoaji 1000 wanatafuta manusura 85 kusini mwa China siku moja baada ya maporomoko ya ardhi kuangusha nyumba 33 katika mji wa Shenzhen .

 

10 years ago

BBCSwahili

Maporomoko yawaua watu 15 Nepal

Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kijiji chafunikwa na maporomoko,India

Zaidi ya watu 200 wanahofiwa kukwama katika maporomoko ya udongo nchini India.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tahadhari:Wanawake wanaokula udongo

Wanawake wanaokula udongo wakiwa wajiwazito wamo katika hatari ya kuwafanya watoto watakowajifungua kutofanya vizuri shuleni.

 

11 years ago

BBCSwahili

176 wapotea baada ya maporomoko Marekani

Maafisa wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya ukuta wa matope kuporomoka Jumamosi, 176 hawajulikani waliko

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani