85 watoweka baada ya maporomoko China
Zaidi ya wakoaji 1000 wanatafuta manusura 85 kusini mwa China siku moja baada ya maporomoko ya ardhi kuangusha nyumba 33 katika mji wa Shenzhen .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mabibiharusi zaidi ya 100 watoweka China
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
176 wapotea baada ya maporomoko Marekani
10 years ago
Habarileo20 Aug
Wagonjwa 17 wa ebola ‘watoweka’
WATU 17 wenye homa ya ebola wametoweka nchini Liberia baada ya kituo kinachohudumia wagonjwa hao kuvamiwa, imethibitisha Serikali ya Liberia.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Maelfu ya watoto watoweka Nigeria
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Vigogo wa dawa za kulevya watoweka
Wauza mahekalu, magari wakimbilia nje Mawakala wahaha, polisi wapigwa butwaa
LChikawe: Tutawanasa wote kimya kimya
NA MWANDISH WETU
SIKU chache baada ya kunaswa kwa watuhumiwa wanaotajwa kuwa ni vinara wa kusafirisha na kuingiza dawa za kulevya nchini, hali imeanza kuwa tete kwa vigogo wengine wa biashara hiyo.
Baadhi ya vigogo wakiwemo wafanyabiashara wakubwa nchini, wameanza kukimbia nje ya nchi kukwepa mkono wa sheria, huku wengine wakisubiri hali itulie ndipo wajitokeze.
Hatua hiyo inatokana...
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Wanyama watoweka pori la akiba la Selous
UJANGILI bado ni tishio kubwa kwa taifa hili, umesababisha baadhi ya wanyama waliokuwa wakipatikana karibu na maeneo ya pembezoni mwa barabara ya Kisaki kuelekea kwenye pori la akiba la Selous...
11 years ago
Mwananchi14 May
Albino auawa, wauaji watoweka na viungo
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Waliomuua ‘Mama Serengeti’ watoweka na mtoto wake
MAJANGILI yaliyoua faru maarufu kama ‘Mama Serengeti’ yanadaiwa kuondoka na mtoto wa faru huyo aliyekuwa na umri wa miezi minne. Habari ambazo Tanzania Daima ilizipata zilidai kuwa Mama Serengeti ni...
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Maporomoko ya udongo yaua Ulaya