Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maelfu ya watoto watoweka Nigeria

Maelfu ya watoto wanadaiwa kutoweka kutoka katika mji wa Damasak, kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Maelfu ya watoto, wanawake kusaidiwa Lindi

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Save the Children, limesema linatarajia kuwasaidia watoto 14,000 na wanawake 32,000 katika vijiji 100.

 

11 years ago

Mwananchi

Maelfu ya watoto njiti hufa hospitalini nchini

Wakati Serikali ikihangaika kutafuta ‘mwarobaini’ wa vifo vya wanawake wajawazito wanapojifungua, imebainika kuwa kuna idadi kubwa ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda wake (njiti), ambao hufariki dunia kila siku katika hospitali mbalimbali nchini kutokana na kukosa huduma.

 

10 years ago

Habarileo

Wagonjwa 17 wa ebola ‘watoweka’

WATU 17 wenye homa ya ebola wametoweka nchini Liberia baada ya kituo kinachohudumia wagonjwa hao kuvamiwa, imethibitisha Serikali ya Liberia.

 

9 years ago

BBCSwahili

85 watoweka baada ya maporomoko China

Zaidi ya wakoaji 1000 wanatafuta manusura 85 kusini mwa China siku moja baada ya maporomoko ya ardhi kuangusha nyumba 33 katika mji wa Shenzhen .

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vigogo wa dawa za kulevya watoweka



Wauza mahekalu, magari wakimbilia nje Mawakala wahaha, polisi wapigwa butwaa
LChikawe: Tutawanasa wote kimya kimya
NA MWANDISH WETU
SIKU chache baada ya kunaswa kwa watuhumiwa wanaotajwa kuwa ni vinara wa kusafirisha na kuingiza dawa za kulevya nchini, hali imeanza kuwa tete kwa vigogo wengine wa biashara hiyo.
Baadhi ya vigogo wakiwemo wafanyabiashara wakubwa nchini, wameanza kukimbia nje ya nchi kukwepa mkono wa sheria, huku wengine wakisubiri hali itulie ndipo wajitokeze.
Hatua hiyo inatokana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabibiharusi zaidi ya 100 watoweka China

Zaidi ya Mabibi harusi 100 wenye asili ya Vietnam nchini China wametoweka huku msako mkubwa ukainza kufanywa na polisi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanyama watoweka pori la akiba la Selous

UJANGILI bado ni tishio kubwa kwa taifa hili, umesababisha baadhi ya wanyama waliokuwa wakipatikana karibu na maeneo ya pembezoni mwa barabara ya Kisaki kuelekea kwenye pori la akiba la Selous...

 

11 years ago

Mwananchi

Albino auawa, wauaji watoweka na viungo

Watu wasiojulikana mkoani Simiyu wamemuua kwa kumkatakata mapanga mlemavu wa ngozi (albino), Mughu Lugata (40) huku wakitoweka na baadhi ya viungo vyake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani