Maelfu ya watoto njiti hufa hospitalini nchini
Wakati Serikali ikihangaika kutafuta ‘mwarobaini’ wa vifo vya wanawake wajawazito wanapojifungua, imebainika kuwa kuna idadi kubwa ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda wake (njiti), ambao hufariki dunia kila siku katika hospitali mbalimbali nchini kutokana na kukosa huduma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Siku ya Mtoto Njiti Duniani: Huduma za gharama nafuu zenye ufanisi katika kuzuia vifo vya watoto njiti Tanzania, inasema UNICEF na wadau wengine
World Prematurity Day press release – SWA FINAL Nov 17 2014.docx by moblog
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Doris Mollel Foundation (DMF) yaandaa tamasha kubwa la kusaidia watoto Njiti nchini, Nov 8 Leaders Club
Mwenyekiti wa Mfuko wa Doris Mollel Foundation, Bi. Doris Mollel akiwakaribisha wageni mbalimbali na wanahabari wakati wa utambulisho maalum juu ya tamasha linalotarajiwa kufanyika siku ya Jumapili Novemba 8, katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu Idara ya Afya, uzazi na watoto, Bi. Georgina Msemo na kulia kwake ni Dk. Sonal Peter ambaye ni daktari wa watoto (Pediatrician) kutoka Hospitali ya Agha Khan. (Picha zote na Andrew Chale,...
10 years ago
Habarileo17 Oct
'Watoto 130 hufa kila siku kwa lishe duni'
WAKATI Tanzania ikisherehekea Siku ya Chakula Duniani, imeelezwa kuwa watoto 130 hufa kila siku nchini kutokana na kukosa lishe bora na matunzo sahihi.
9 years ago
MichuziSIKU YA WATOTO NJITI
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Samia aombwa wodi ya watoto njiti
11 years ago
GPLWATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
11 years ago
GPLMAMA WA WATOTO NJITI MAPACHA ASHUKURU WALIOMSAIDIA
9 years ago
StarTV12 Nov
Mashirika,Asasi zatakiwa kuokoa maisha ya watoto njiti
Kufuatia kuzidi kuongezeka kwa vifo vya watoto njiti nchini takribani watoto laki mbili na kumi wanaozaliwa kwa mwaka ni elfu tisa pekee ndiyo wanafanikiwa kupata huduma za matibabu na kuishi.
Kutokana na ongezeko hilo la vifo vya watoto njiti, mashirika pamoja na asasi binafsi zimetakiwa kujitokeza kutoa misaada ya mashine za kusaidia kupumua na za kutolea uchafu kwa watoto hao na si mpaka kuisubiri Serikali kufanya kazi hiyo.
Akibainisha hayo mshirika wa Doris Moleli Faundation amesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Muc_6AOtiiI/XvJj6sPezAI/AAAAAAALvHE/xforPR-UpKMXmhVqxA0GWlK47bJt5wi5QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_151307_2.jpg)
MENINA AHAIDI KUKARABATI CHUMBA CHA WATOTO NJITI
ZAO la mashindano ya BSS Menina Atick amewaomba wasanii kusaidia jamii hasa wamama pamoja na watoto.
Menina amesema hatosita kuwasaidia wamama pamoja na watoto wanaopitia changamoto za kiafya.
"Ifike wakati wasanii na watu mashughuli waiona fursa ya kusaidia jamii hasa wamama ambao wanapitia changamoto ya kujifungua pamoja na watoto wanaozaliwa na matatizo hasa watoto njiti,"
Hata hivyo Menina amesema mbali na kutembelea hospitali hiyo ya vijibweni katika wilaya...